Ni ngiruwe na ngiri, vyote haramu!
hapo kwenye umalaya ingekaa vizuri ikisomeka kama ifuatavyo:Uzinzi-Ni kitendo cha mtu aliye kwenye ndoa kufanya ngono nje ya ndoa na mtu yeyote yule.
Uasherati-Ni kitendo cha mtu ambaye hajaoa au kuolewa kufanya ngono na mtu yeyote yule.
Ukahaba-Ni kufanya ngono kwa minajili ya kujipatia kipato(kujiuza).
Umalaya-Ni mazoea sugu ya kuwa na mahusiano ya kingono na mtu mmoja au zaidi .Uasherati na uzinzi vikiwa sugu ndio umalaya wenyewe.
Disclaimer:
Hizi sio tafsiri za kwenye kamusi.