Nyani Ngabu Platinum Member May 15, 2006 92,216 113,519 Apr 9, 2012 #2 Maana ya shababi ni kijana (youth). Sasa kutegemeana na muktadha, huenda mara nyingi hutumika kumaanisha huyo mtu bado damu yake inachemka na ni mwenye nguvu.
Maana ya shababi ni kijana (youth). Sasa kutegemeana na muktadha, huenda mara nyingi hutumika kumaanisha huyo mtu bado damu yake inachemka na ni mwenye nguvu.
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,781 Apr 9, 2012 #3 Ama ni kushirikiana na al-shabab?
CHAI CHUNGU JF-Expert Member Feb 20, 2012 7,113 930 Apr 9, 2012 #4 Shababi ni mwanaume mwenye nguvu nyingi,ambaye akimkamata demu basi sii chini ya bao5 na kila bao sii chini ya dk20.
Shababi ni mwanaume mwenye nguvu nyingi,ambaye akimkamata demu basi sii chini ya bao5 na kila bao sii chini ya dk20.
Dotworld JF-Expert Member Aug 10, 2011 4,035 3,773 Apr 9, 2012 #5 Nakubaliana na alivyosema Nyani Ngabu hapo Juu Kwa mujibu wa Kamusi ya TUKI .. Shababi* nm [a-/wa-] youth. (Kar) .
Nakubaliana na alivyosema Nyani Ngabu hapo Juu Kwa mujibu wa Kamusi ya TUKI .. Shababi* nm [a-/wa-] youth. (Kar) .