Wakuu naomba mnieleweshe ni process gani za kufuata ili kuwa wakala wa m-pesa ama tigo pesa. Je leseni yake inatolewa na BOT ama TRA? Au waweza tumia leseni yoyote ya biashara kufanyia hiyo ya pesa? Please msaada waungwana.
Mkuu nenda ofisi za makamputi hayo, TIGO, VODACOM na AIRTEL wanaofisi katika miji mingi ambazo ndiyo hutoa ufafanuzi wa mabo hayo.
Jitahidi tembelea ofisi zao
Ukienda huko watakwambia uje na photocopy za tin number,leseni ya biashara na kitambulisho na passport size mbili za rangi,tin number inapatikana tra na leseni inapatikana ofisi za biashara za mkoa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.