Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,475
- 39,991
Hii ni lugha jamani.. miye nilidhani 'kigoli" ni kinyume na "goli" yaani goli ni kubwa unaweza kufunga popote lakini "kigoli" ni goli dooooogo... kufunga kwake taabu.. halifunguki kirahisi rahisi kama alivyofungwa Green wa UK.