Sinkala
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 1,773
- 683
Wakuu heshima mbele!
Ninahitajika mahali fulani ambapo tutakuwa na watu wa mataifa mbalimbali. Kila mmoja ameagizwa aende na kibendera kidogo cha mezani cha nchi yake (elimu ya uraia pia inahitajika hapa kwani sielewi kama kuwa nayo ni kinyume cha sheria au la!). Naombeni msaada mnielekeze ukiwa Tanzania vinapatikana wapi, iwe kwa kununuliwa au kugawiwa. Mara nyingi huwa naviona siku ya matukio makubwa ya kitaifa kama vile mechi kubwa kubwa au wakati kiongozi wa nje anapokuja Bongo. Naomba nisisitize kuwa nataka vile vidogo dogo vya mezani, si vile ambavyo baadhi ya watu wanavivaa kichwani. Pia viwe ni material ya kitambaa, si karatasi.
Nawasilisha.
Ninahitajika mahali fulani ambapo tutakuwa na watu wa mataifa mbalimbali. Kila mmoja ameagizwa aende na kibendera kidogo cha mezani cha nchi yake (elimu ya uraia pia inahitajika hapa kwani sielewi kama kuwa nayo ni kinyume cha sheria au la!). Naombeni msaada mnielekeze ukiwa Tanzania vinapatikana wapi, iwe kwa kununuliwa au kugawiwa. Mara nyingi huwa naviona siku ya matukio makubwa ya kitaifa kama vile mechi kubwa kubwa au wakati kiongozi wa nje anapokuja Bongo. Naomba nisisitize kuwa nataka vile vidogo dogo vya mezani, si vile ambavyo baadhi ya watu wanavivaa kichwani. Pia viwe ni material ya kitambaa, si karatasi.
Nawasilisha.