goodhearted
JF-Expert Member
- Feb 15, 2015
- 944
- 1,110
Bila shaka mu bukheri wa afya,
Kuna jamaa yangu ameniomba sana niishi nae ktka nyumba ya kupanga ambayo anaishi yeye na mkewe na mtoto wao mmoja.
Kisa kiko hivi, hiyo nyumba alikuwa anaishi na mwenye nyumba ambae amefariki kama wiki mbili hivi. kwa kuwa nyumba ni kubwa jamaa yangu kanimba nichukue na mimi chumba hapo kisa yeye anaogopa kuishi hapo peke yake na et nkikataa hata yeye atahama.
kwa kuwa hata mimi nilikuwa ninaharakati za kutafuta nyumba nyingine ya kupanga nikaona nimkubalie kwani nyumba yenyewe ina kiwango kizuri.
Tatizo lililonifanya niombe ushauri ni hivi, toka nihamie hapa tumekuwa tukishea chakula means nakontribute then shemeji anapika chakula cha wote. Lakini jana shemeji kanifuta usiku wakati nakula cha chakula cha usiku akaniuliza swali ambalo nilishindwa kumjibu papo kwa hapo, kaniuliza hivi "Shemu tutaendelea kula pamoja au utaanza kujipikia chakula chako?" kwa kweli nilimwambia anipe muda nitafakari! Huku nikiwaza amefikiria nini kuniuliza swali kama lile!!
Kujipikia sio tabu lakini sasa kwa jinsi tunavyoishi na huyu jamaa yangu cjui atanielewaje. Maana tunashea sebule na kila kitu tulichokikuta hapo, mi naingia chumbani kwangu nae anaingia kwake.
ushauri wenu wadau. Ingekuwa ww ndo mimi ungechukua uamuzi gani katika hili!!?
Kuna jamaa yangu ameniomba sana niishi nae ktka nyumba ya kupanga ambayo anaishi yeye na mkewe na mtoto wao mmoja.
Kisa kiko hivi, hiyo nyumba alikuwa anaishi na mwenye nyumba ambae amefariki kama wiki mbili hivi. kwa kuwa nyumba ni kubwa jamaa yangu kanimba nichukue na mimi chumba hapo kisa yeye anaogopa kuishi hapo peke yake na et nkikataa hata yeye atahama.
kwa kuwa hata mimi nilikuwa ninaharakati za kutafuta nyumba nyingine ya kupanga nikaona nimkubalie kwani nyumba yenyewe ina kiwango kizuri.
Tatizo lililonifanya niombe ushauri ni hivi, toka nihamie hapa tumekuwa tukishea chakula means nakontribute then shemeji anapika chakula cha wote. Lakini jana shemeji kanifuta usiku wakati nakula cha chakula cha usiku akaniuliza swali ambalo nilishindwa kumjibu papo kwa hapo, kaniuliza hivi "Shemu tutaendelea kula pamoja au utaanza kujipikia chakula chako?" kwa kweli nilimwambia anipe muda nitafakari! Huku nikiwaza amefikiria nini kuniuliza swali kama lile!!
Kujipikia sio tabu lakini sasa kwa jinsi tunavyoishi na huyu jamaa yangu cjui atanielewaje. Maana tunashea sebule na kila kitu tulichokikuta hapo, mi naingia chumbani kwangu nae anaingia kwake.
ushauri wenu wadau. Ingekuwa ww ndo mimi ungechukua uamuzi gani katika hili!!?