Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
hakuna la kushangaza hapa...ni age ya kupata phd kabisa
They are not running too fast, we are moving too slow.
Kuna prodigies wengi washaingia chuo kikuu at 14, wana graduate baccalaureate degree by 17, by 20 wana a graduate degree, 25 mtu ana Ph.D.
Kuna dogo mmoja katoka Projects za NYC yuko anafundisha Harvard miaka kadhaa sasa, nafikiri ndio kwanza atakuwa early thirties. Naye ilikuwa style hii hii.
They are not running too fast, we are moving too slow.
Kuna prodigies wengi washaingia chuo kikuu at 14, wana graduate baccalaureate degree by 17, by 20 wana a graduate degree, 25 mtu ana Ph.D.
Kuna dogo mmoja katoka Projects za NYC yuko anafundisha Harvard miaka kadhaa sasa, nafikiri ndio kwanza atakuwa early thirties. Naye ilikuwa style hii hii.
kweli hili uliolianzisha jipya. ndio nasikia kwako.
Kwa utaratibu wa bongo ni imposible. maana mtu anahitaji 13 years mfululizo kuanzia primary hadi form 6. sasa labda awe ameanza darasa la kwanza na mwaka 1
They are not running too fast, we are moving too slow.
hakuna la kushangaza hapa...ni age ya kupata phd kabisa
wapi huko ni kawaida Ph D at 25?
PhD. wala si hoja sana. Kuna ma-geniuses na ma-savants ambayo hayana time kabisa na formal education.