Nigeria knocked out of CHAN as Ghana go through

Milindi

JF-Expert Member
Mar 3, 2009
1,462
745
Nigeria knocked out of CHAN as Ghana go through


The DR Congo won the first ever African Nations Championship
Last year's African Nations Championship (CHAN) finalists Ghana have booked their place in the second edition of the tournament, but Nigeria are out.

The Black Stars beat Burkina Faso 1-0 in Accra to book their spot in the competition which will take place next year in Sudan.

Bismarck Idan scored the only goal of the game for Ghana.

Meanwhile Nigeria will miss out on the finals next year after losing 2-0 on aggregate to Niger.

source:bbc


Ndugu wanajamii hasa Watanzania,kutolewa mapema kwa Nigeria ambao wana shule na viwanda vingi vya kutengeneza wachezaji kuna maana gani kwetu sisi watanzania???
Rwanda tutatoka???
Namuonea huruma maximo,akishinda wapinzani walikuwa wabovu,akishindwa tumechoka hana lolote aondoke,
Lazima watanzania tubadilike na watu wenye pesa wawekeze kwenye mpira na shule na vyuo vifunguliwe,maana hata Tenga amewasaliti wapenda michezo kwa kuendekeza mambo ya pesa tu.
Kipingu tunataka matunda zaidi toka shule ambazo zipo chini yako na tunataka program ya muda mrefu sio vijana wakiibuka kidogo basi wanachukuliwa na simba au yanga.Tubadilike na tuwe na mipango ya soka ya muda mrefu.
 
Back
Top Bottom