Mahakama ya Nigeria imepitisha hukumu kwa kampuni ya Shell BP kuwarudishia wananchi wake ardhi ambayo ndiyo yenye mradi mkubwa wa uchimbaji mafuta!...Hii ilikuwa moja ya ahadi ya rais wao mpya ambaye aliiweka wakati akipigania kiti cha Urais!..nilimsikia akihojiwa ktk kipindi cha Hard Talk - BBC.
Source:- Morningstar - Dow Jones & Company, Inc.: Nigeria Court Tells Shell To Hand Over Land Near Bonny Terminal
Jamani kumbe inawezekana!...Sasa nadhani Barricks na wawekeshaji wengine wote ktk madini inabiudi twende kwa mtindo wa Nigeria..Shell wameahidi kukata rufaa..
Source:- Morningstar - Dow Jones & Company, Inc.: Nigeria Court Tells Shell To Hand Over Land Near Bonny Terminal
Jamani kumbe inawezekana!...Sasa nadhani Barricks na wawekeshaji wengine wote ktk madini inabiudi twende kwa mtindo wa Nigeria..Shell wameahidi kukata rufaa..