Nifuteni machozi kama mpo humu, Azania boys inanuka kisa mkuu wa shule kaitafuna

sifi leo

JF-Expert Member
Mar 30, 2012
5,012
8,358
WanaJamvi habari zenu,

Mimi nilikuwa miongoni mwa wanafunzi tuliosoma AZABOY enzi hizo. Jamani nimepita pale jana kumsalimia mwalimu wangu mmoja jina kapuni, nimekuta shule ukiingia tu mlangoni inanuka kinyesi, shule majengo yamechakaa, nikauliza kiwango cha ufaulu pale nikaambiwa kuwa kimeshuka mara kumi tangu nilipomaliza mimi, wakati sina hata miaka 8 tangu nitoke pale.

Nikauliza mkuu wa shule, maana mimi nilisoma enzi za mzee Kwayu, leo hii eti mkuu wa shule ni yule mpiga muhuri enzi hizo? Mfupi, mweusi, simkumbuki jina, kibaya zaidi alisoma pale anashindwaje kuiendeleza shule aliyosoma?

Mbona watanzania tunakuwa na roho mbaya kiasi hiki? Yeye kama angesoma pale wakati majengo yananuka kinyesi kama leo hii hata hiyo nafasi ya kuwa mpiga mihuri kipindi kile angeipata?

Najua ukuu atakuwa ameupata kipindi cha Njomba Nkwere, hakuna shida maana kipindi kile ambaye hajapanda cheo jua hajasoma mjini.

Naombeni kama mpo humu wana Aza boy. Tukutane tuikumbuke shule yetu. Huyu mkuu aondolewe haraka. Kaka Magu anza na mkuu huyu hafai!

Nimembiwa tangu awe mkuu amenunua magari kibao, majumba, lakini shule kila kukicha maziro yanaongezeka. Shame on you MwanaAzaboy unayetuangusha!
 
Pole sana mimi ni jirani yenu( tambaza) enzi hizo. Nimeumia sana
INAUMA SANA MAN! YANI mwenyewe nimeenda na mtu ninae mweheshimu nikamuoneshe shule niliyosoma tunaingia tu mlangini tunakutana na alfu ya kinyesi haiwezekan unafanya nini kama umesomea kupiga chapa mihuri rudi kazini kwako JEMBE UKILIMIA UKUMBINI UKONGOKA YAN AMENIBOA VIBAYA KAMA NINGEMKUTA LEO NINGEMTIA MIKASI YA MAKALIO
 
Namjua sana anaitwa NGOZIE, miaka nyuma alisifika kwa kuwa kimbiza wanafunzi, alikua mwlm soma Uchoraji....mku mnyewe kidhungu sifuri ndio ataisaidia nn shure, yule mzee anamapungufu mengi sana ata uongozi wake ni wakibabe babe kwa kujirinda na udhaifu wake...
Nilmalza miaka 7iliyopita matoke yao nayafatilia sio mazuri kbisaaa hkuna kitu....
 
Namjua sana anaitwa NGOZIE, miaka nyuma alisifika kwa kuwa kimbiza wanafunzi, alikua mwlm soma Uchoraji....mku mnyewe kidhungu sifuri ndio ataisaidia nn shure, yule mzee anamapungufu mengi sana ata uongozi wake ni wakibabe babe kwa kujirinda na udhaifu wake...
Nilmalza miaka 7iliyopita matoke yao nayafatilia sio mazuri kbisaaa hkuna kitu....
TUUNGANE TULIO SOMA PALE KUPINGA UZINDAKI WAKE WAMGOE
 
anaitwa nani? ngozie? atakuwa ndo huyo hyuo, huyu mzee naapa ningesoma education ningeomba kazi yake, akika ameniumiza sana, yan vyoo vya walimu vinanuka kama vya wanafunzi? mnao jua AZABOY UKIINGIA TU GETI KUU NYOSHA MOJA KWA MOJA, KATA KULIA, UKIKATA TU arusfu kama upo gerezani au vituo vidogo vya polisi ambavyo sero zipo mlangoni kama Hostabei, arufuu mi nilimpereka rafiki yangu mzungu nusu atapike tukaishia apo, nikampereka pale wenye masiment. kakaaa, we akaanza kuniuliza yalijengwa mwaka gani?nilikosa jibu, BROO mAGU Tumbua jipu la Azaboy hatuwezi kubari liendeleee kuua kisiwa chetu sisi
 
Sawa tumewasoma. Ngoja tufuatilie ili tujue na ya upande wa pili kabla ya kufanya uamuzi sahihi.Stay tuned!
 
WANA jamvi habari zenu, mimi nilikuwa miongoni mwa wanafunzi tulio soma AZABOY ENZI HIZO jaaman niepita pale jana kumsalimia mwalimu wangu mmoja jina kapuni, nimekuta shule ukiingia tu mlangoni inanuka kinyesi, shulemajengo yamechakaa, nikauliza kiwango cha ufaulu pale nikaambiwa kuwa kimeshuka mara kumi tangu nilipo maliza mimi wakti sina hata miaka 8 tangu nitoke pale.

nikauliza mkuu wa shule maana mimi nilisoma enzi za mzee kwayu, leo hii eti mkuu wa shuke ni YULE MPIGA MIHURI ENZI ZILE? mfupi mweuzi simkumbuki jina, kibaya zaidi alisoma pale anashindwaje kuiendeleza shule aliyosoma?

mbona watanzania tunakuwa na roho mbauya kiasi iki? yeye kama angesoma pale wakati majengo yananuka kinyesi kama leo hii hata hiyo nafasi ya kuwa mpga mihuri kipindi kile angeipata?

NAJUA UKUU atakuwa ameupata kipindi cha Njomba Nkwere, hakuna shida maana kipindi kire ambaye hjapandsa cheo jua hajasoma mjini.

Naombeni kama mpo humu WANAAZABOY. TUKUTANE TUIKUMBUKE SHULE YETU. HUYU MKUU AONDOLEWE HARKA KAKA MAGU HANZA NA MKUU HUYU.AFAI nimembiwa tangu awe mkuu amenunua magari kibao, majumba, lakini shule kira kukicha maziro yanaongezeka SHAME ON YOU, MWANA AZABO UNAE TUANGUSHA,
Ha ha ha ha haaaaa! Unamzungumzia Nguzye, the dictator?
 
Sasa magufuli atatumbua shule ngapi? Kila adha mnamwita magu.... Kila MTU sasa hivi kero yake anamwita Magu....kwan magu ni malaika? Anapaa...

Anzia ngazi ya chini kwanza ...usirukie kwa magu ngazi ya raisi.
 
Mambo ya palilalila (azaboy)
Taifa KUBWA (azaboy)
Shamba la one(azaboy)
Tunataka heshima (azaboy)

......
......

Hapo tupo kituo cha muhimbili tunapandisha pale msikitini opposite Na Donbosco tunatrot tumeshewapiga TAMBAZA 3-0!
 
Sasa magufuli atatumbua shule ngapi? Kila adha mnamwita magu.... Kila MTU sasa hivi kero yake anamwita Magu....kwan magu ni malaika? Anapaa...

Anzia ngazi ya chini kwanza ...usirukie kwa magu ngazi ya raisi.
MAGU ni mkuu wa nhi waraka wangu unaenda kwa waziri wake, mimi simjui ebu mperekee auone na kwa ufupi ili jipu ni langu na wrewe uliyesoma twende tukalitumbue mimi niliwai kumwam,bia anipe nafasi nijtolee akakataa
 
gooooooooooood idea, nasubiri na wengine mjitokeze haiwezekani shule yetu ife tukiwa hai,KWAYUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUZ BOYZ COME HIRE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom