fimbombaya
Member
- Apr 11, 2011
- 47
- 12
Naomba ushauri na muongozo katk hili. Mimi niliajiriwa km mwl. Wa shule ya msingi(gvt) na kuamua kujiendeleza hadi kufanikiwa kumaliza shahada ya uhasibu mwaka 2011,lkn ktk kipindi chote hicho muajiri wangu alikuwa hajui km nasomea fani tofauti na ualimu,na sabubu ya kumdanganya kuwa nasoma ualimu ilikuwa nikupata ruhusa ya kwenda kusoma kwan ilikuwa akikataa kuwaruhusu watu waliokuwa wanaenda somea kozi tofauti hasa walimu.sasa nimemaliza na ninahitaji mawazo yenu namna ya kufanya na kwautaratibu upi ntambulike na kutumikia ujuz wangu mpya pa1 na kupandishwa mshahara kwa elimu yangu.? Nisaidie muongozo pliz