Ndugu wazima,mm ni muhitimu wa shahada mwaka 2012 napenda sana kujiunga na jeshi napenda kutoka moyoni na nipo tayari kupitia jkt ila umri wangu kwa sasa ni miaka 25 je mwakani watanikubalia kujiunga na jkt wakati umri utakuwa umesogea?anayejua anijuze pia nimesomea shahada ya mipango kazi,menejimenti na maendeleo ya jamii yaan ba.PROJECT PLANNING,MANAGMENT AND COMMUNITY DEVELOPMENT