Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Shem,hawa ni 2nd cousins,kama ni upande wa kuumeni mi naona ni marufuku maana wana u bin mmoja (meaning babu zao walikuwa baba mmoja mama mmoja),lakini kama ni ukeni (bibi zao baba mmoja mama mmoja) mi naona kiafrika hapo ruksa maana ni ukoo(oluganda) tofauti kabisa.Yaani umekosa kabisa mwanaume mwingine?? Mweehh Dunia hii ina mambo
Lakini kuna makabila yanaruhusiwa kuoana mabinamu...........................
Kama ruhusa poa tu
Swali la kizushi: Na huyo binamu nae anakupenda kama vile wewe unavyompenda??
au ni kwasababu wewe umempenda?? (Si lazima ujibu)
Sijui unaonaje shem hapa?