kipusy
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 639
- 321
- Thread starter
- #21
kabla hujatafuta adhabu kaa chini tafakari hayo "maamuzi yako" anayokaidi? je yanakuwa win win situation? unatoa maamuzi ya kibabe? unamsikiliza anachotaka? ila ndani ya nyumba kuwe na amani lazima wote wawili mkubaliane. lakini mmoja anapokuwa ni muamuzi wa kila kitu matokeo yake ndo hayo.
mkeo amekwambia kwa nini "kapitiliza" siku? Fine wanaume mnasema nyie ndo vichwa, ndo waamuzi lakini siku zote nyumba yenye fuaraha na mafanikio huwa wanasikilizana,wanajadiliana, wanaacha umimi na kuweka "sisi". Kama kuna mbabe ajishushe la sivyo mtafarakana kila siku. Kumbuka mke si mtoto, ni mtu mzima mwenye akili timamu mwenye maamuzi yake ili muwe katika mstari ulionyooka lazima muwe mnakubaliana.
wewe na mkeo mkajitafakari kuna tatizo kubwa kati yenu.
:focus:
mnyime unyumba(ila ujue madhara yake..... usirudi jamvini unalia)[/
alisema anamsubiri dada yake aje amuone mtoto, tukakubaliana trh 18 awe amerudi, lakin amekaidi. NAMFUKUZA CHUMBANI ALALE NA BEKI TATU