Kwani leo alikuwa hatabasamu...............Leo anaongea na wazee wa Dar, lakini TV zitaonyesha ili watu wasikie na waone. Tatizo mi sina interest ya kumsikia , yani hata nikijilazimisha. Hili nahisi ni tatizo sasa...
Hata kama atakuwa mama yako?Sidhani. Maana nikishapiga hizo kila anaeongea kiswahili naona kama hana akili...
Hata kama ni mama yako mzazi?Sidhani. Maana nikishapiga hizo kila anaeongea kiswahili naona kama hana akili...
Sayansi ya kuwalisha Watanzania majani ili ndege ya rais inunuliwe?Serious hili tatizo hata mimi limenikumba nakumbuka enzi za Mkapa nilikuwa sikosi hotuba zake, maana japo ni mwanasiasa lakini hotuba zake nyingi zilikuwa za kisayansi, lakini huyu mwenzangu na mimi mpaka najisikia kinyaa.
Unataka kumsikiliza au kusikia akiongea??
kama unataka kusikia akiongea tafadhali kunywa bia angalao 3, kama unataka kumsikiliza,
tafadhali muone daktari wa vichaa, atakupa dawa ya kukuwezesha kumsikiliza
Leo anaongea na wazee wa Dar, lakini TV zitaonyesha ili watu wasikie na waone. Tatizo mi sina interest ya kumsikia , yani hata nikijilazimisha. Hili nahisi ni tatizo sasa...
namuhangalia kupitia tbc1 hapa ni mipasho tu hana jipya ni kama wabunge wake
Leo anaongea na wazee wa Dar, lakini TV zitaonyesha ili watu wasikie na waone. Tatizo mi sina interest ya kumsikia , yani hata nikijilazimisha. Hili nahisi ni tatizo sasa...
Leo anaongea na wazee wa Dar, lakini TV zitaonyesha ili watu wasikie na waone. Tatizo mi sina interest ya kumsikia , yani hata nikijilazimisha. Hili nahisi ni tatizo sasa...