nifanyeje kuwa civil engineer?

Nakushauri we saka hela. Elimu inazidi kukuweka mbali na mafanikio.

Kwakuwa una ki-elimu kidogo, na una mpango wa kufungua kampuni yako, we angalia jinsi gani ya kusimamia miradi yako.

We saka hela. Somesha wanao.
 
Nakushauri we saka hela. Elimu inazidi kukuweka mbali na mafanikio.

Kwakuwa una ki-elimu kidogo, na una mpango wa kufungua kampuni yako, we angalia jinsi gani ya kusimamia miradi yako.

We saka hela. Somesha wanao.
thank you
 
nenda veta soma building system mpaka grade three ukitoka hapo nenda dit ukimaliza pale upo nondo kupita mtu wa udsm.....kuhusu kurudia mitihani achana nalo....utapoteza muda wako buleee
 
nenda veta soma building system mpaka grade three ukitoka hapo nenda dit ukimaliza pale upo nondo kupita mtu wa udsm.....kuhusu kurudia mitihani achana nalo....utapoteza muda wako buleee

nashukuru sana kaka tena sana.
Nimekua nikijaribu kupitia website za veta katika orodha za kozi zilizopo sijafanikiwa kuiona hiyo kozi isipokua niliona road maintainence
na nategemea kusomea dar
nashukuru kwa kunipa moyo na nadhani hiyo itakua njia sahihi.vipi kuhusu chuo cha st joseph?
 
wadau mimi ninaelimu ya form four na nilifanyikiwa kupata elimu ya chuo katika fani ya karani wa fedha(basic certificate of accountancy)
nilisoma kozi hiyo kutoka na mazingira tu niliyokuwepo lakini haiipo damuni ingawa nimekua niikiifanyia kazi katka moja ya campany ya ujenzi,ndoto yangu hasa toka zamani ni kuwa civil engineer,nifanyeje?
Naomba ushauri kwani matokeo yangu ya form four hayakua mazuri sana
nina C ya mathematics na D kama tatu na ma-F ya kumwaga

Well come!!!!!!!!

Waweza japokua itakua kwa njia ndefu na yawezekana ikawa pia ngumu!!

Ngoja nikuulize kidogo!! kwanini umeamua kutaka kua Civil Eng.? na ni kwa ajili waona wahindisi hapo tu sio sahihi lakini kama ni ndoto yako toka mwazo ni poa!!

najua watu watakuja hapa kukataa!! lakini hii ndio facts tofauti na fani nyingine uhandisi wataka dhamira ya dhati toka mwanzo wa safari ya elimu na nataka kutofautiana na KING'ASTI ni kweli CIVIL ENGINEERING ni ngumu kuliko CPA na yaweza kua ngumu sana kama aikua option yako toka mwanzo.

Kama unania ya dhati waweza anza na veta level 1& 2 ya kozi yenyewe iwe ya civil, ukifahuru vizuri waweza jiunga na technical college kwa masomo ya FTC na hapo utaanza kuonja kaugumu, tofauti na zamani siku hizi maisha yamekua kidogo rahisi kwani hata kama ukufahuru vizuri FTC ila usikamatwe waweza jiunga na ADVC. in civil engineering na baadae post graduate.Zamani ilikua ngumu sana mtu wa FTC kuingia university kwani walitaka upate average ya B positive ambayo ni mbinde sana.

Ila umenifurahisha umekaa na wahindisi umeona inalipa eeeh!!

Nakumbuka enzi zetu tumemaliza huhandisi ulikua njaa mabaya lakini sasa twabembea!!!!

Karibu dogo
 
mstari huu umenikuna sana kama accountant

Imekukuna lakini ni kweli kwamba CPA sio ngumu kiivyo, tatizo la wengiwenu mnaisoma wakati Maths. ni mamamkwe nilimaliza engineering miaka ya tisini na nikaipiga CPA kama nalia na ilikua cheap ki noma!!! ukikitaka isikusumbue kua mzuri kwenye maths. especially logic
 
Uwezo wako kimasomo ni mdogo sana.Katika hali ya uduni wa elimu wa sasa na bado perfomance yako ndio hiyo,hata kama utarudia na kufaulu,bado huko mbele utapata shida sana.Engineering sio admin,economics au accountacy.Usinie makuu kuliko uwezo wako,jifit mahali panapo kufaa.Nakushauri ujiendeleze zaidi katika fani hiyo hiyo ya uhasibu hata kufikia ngazi ya CPA.Najua umekunwa na umahiri wao hapo kazini kwenu.

Haina ugumu wowote usitake kuvunja moyo wenzio
 
Siku zote mtafutaji hupata na in this world the sky is the only limit to your dreams,and you can always be what you want to be,and one thing never give up and always pray if its Gods will you wil be regardless of the obstacles,
 
Well come!!!!!!!!

Waweza japokua itakua kwa njia ndefu na yawezekana ikawa pia ngumu!!

Ngoja nikuulize kidogo!! kwanini umeamua kutaka kua Civil Eng.? na ni kwa ajili waona wahindisi hapo tu sio sahihi lakini kama ni ndoto yako toka mwazo ni poa!!

najua watu watakuja hapa kukataa!! lakini hii ndio facts tofauti na fani nyingine uhandisi wataka dhamira ya dhati toka mwanzo wa safari ya elimu na nataka kutofautiana na KING'ASTI ni kweli CIVIL ENGINEERING ni ngumu kuliko CPA na yaweza kua ngumu sana kama aikua option yako toka mwanzo.

Kama unania ya dhati waweza anza na veta level 1& 2 ya kozi yenyewe iwe ya civil, ukifahuru vizuri waweza jiunga na technical college kwa masomo ya FTC na hapo utaanza kuonja kaugumu, tofauti na zamani siku hizi maisha yamekua kidogo rahisi kwani hata kama ukufahuru vizuri FTC ila usikamatwe waweza jiunga na ADVC. in civil engineering na baadae post graduate.Zamani ilikua ngumu sana mtu wa FTC kuingia university kwani walitaka upate average ya B positive ambayo ni mbinde sana.

Ila umenifurahisha umekaa na wahindisi umeona inalipa eeeh!!

Nakumbuka enzi zetu tumemaliza huhandisi ulikua njaa mabaya lakini sasa twabembea!!!!

Karibu dogo

ahsante mkuu,
nashukuru sana kwa ushauri wako ambao kwa kweli kwangu naona kama unaniwashia taa,ahsnte sana.kiukweli nipenda sna mawazo yako.
Nilijaribu kupita katika website ya veta na hasa katika center ya dsm sijaona kozi ya civil.pamoja na hayo kupitia ushauri wako nitaenda moja kwa moja kwao kuwauliza,kisha ntawasikiliza wanasemaje
 
Imekukuna lakini ni kweli kwamba CPA sio ngumu kiivyo, tatizo la wengiwenu mnaisoma wakati Maths. ni mamamkwe nilimaliza engineering miaka ya tisini na nikaipiga CPA kama nalia na ilikua cheap ki noma!!! ukikitaka isikusumbue kua mzuri kwenye maths. especially logic
mkuu kumbe unaweza ukamaliza civil then ukaaenda kufanya CPA?do nakuonea wivu mkuu...nami niombee nifike huko
 
Back
Top Bottom