Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,403
- 920
wadau mimi ninaelimu ya form four na nilifanyikiwa kupata elimu ya chuo katika fani ya karani wa fedha(basic certificate of accountancy)
nilisoma kozi hiyo kutoka na mazingira tu niliyokuwepo lakini haiipo damuni ingawa nimekua niikiifanyia kazi katka moja ya campany ya ujenzi,ndoto yangu hasa toka zamani ni kuwa civil engineer,nifanyeje?
Naomba ushauri kwani matokeo yangu ya form four hayakua mazuri sana
nina C ya mathematics na D kama tatu na ma-F ya kumwaga
nilisoma kozi hiyo kutoka na mazingira tu niliyokuwepo lakini haiipo damuni ingawa nimekua niikiifanyia kazi katka moja ya campany ya ujenzi,ndoto yangu hasa toka zamani ni kuwa civil engineer,nifanyeje?
Naomba ushauri kwani matokeo yangu ya form four hayakua mazuri sana
nina C ya mathematics na D kama tatu na ma-F ya kumwaga