Nifanyeje kabla ya kuoa ?

hilo ndio neno kijana.....hizo fikra za kuoa labda atafanya hivi na vile, cjui ata cheat uziweke kando uupe moyo wako mawazo mema, ni hivi kijana, kama wewe uta cheat jua na mwenzio ana cheat, kama wewe unajijua kabisa ni mwema kwa mwenzio 100% jua na yeye ni mwema hivyo hivyo, mtendwa hutendwa....karibu kwenye game kuna raha na karaha zake, na ndoa ni jinc wew utakavyoitengeneza.

Habari za kupotea Nyamayao mzima wewe
 
yalishakuwa zamaaani tena kwani ulikuwa hujui??


A%20S-heart-2.gif
A%20S-heart-2.gif
A%20S%20465.gif
true love never die
A%20S%20465.gif
A%20S-heart-2.gif
A%20S-heart-2.gif
 
hilo ndio neno kijana.....hizo fikra za kuoa labda atafanya hivi na vile, cjui ata cheat uziweke kando uupe moyo wako mawazo mema, ni hivi kijana, kama wewe uta cheat jua na mwenzio ana cheat, kama wewe unajijua kabisa ni mwema kwa mwenzio 100% jua na yeye ni mwema hivyo hivyo, mtendwa hutendwa....karibu kwenye game kuna raha na karaha zake, na ndoa ni jinc wew utakavyoitengeneza.

Nashukuru dada yangu, nikumbuke kwenye maombi yako
 
Habari za kupotea Nyamayao mzima wewe

mzima swity wangu ni mihangaiko tu....naona vijana mnapata wazimu mkifikiria ndoa, mkiingia humu mkipata visa/mikasa ya ndoa mnakata tamaa, ya humu/mnayockia mitaani yacwaingie ki vile, ndoa hazifanani kabisa, ni kumuomba Mungu akupe alie mwema, oweni kabisa mckatishwe tamaa, ndoa ina utamu wake jamani.
 
wasikutishe oa kaka, ndoa is like a game 'to make it confortable' it depends on how u pray 'u wit ur partner both 2gether'
 
mzima swity wangu ni mihangaiko tu....naona vijana mnapata wazimu mkifikiria ndoa, mkiingia humu mkipata visa/mikasa ya ndoa mnakata tamaa, ya humu/mnayockia mitaani yacwaingie ki vile, ndoa hazifanani kabisa, ni kumuomba Mungu akupe alie mwema, oweni kabisa mckatishwe tamaa, ndoa ina utamu wake jamani.

AMEN, AMEN, AMEN TO THAT.

The Following User Says Thank You to Nyamayao For This Useful Post:

The Following User Says Thank You to Nyamayao For This Useful Post:

The Following User Says Thank You to Nyamayao For This Useful Post:

The Finest (Today)​
 
Maliza mambo yako yooote, na huyo mwenzio mwambie amalize mambo yake yooote halafu ndio muoane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom