Nifanyeje kabla ya kuoa ?

Acha woga mkuu.....tafuta mchumba....then oa........
after all, marriage ain't a paradise.......
 
kaka hawa watu ni very hard to understand and at the same time very easy to understand but all in all it depends on how well you can handle them.....wala usiwe na hofu kuhusu kuoa cha msingi muombe mungu akujaalie umpate ambae mtaendana. Hizi case za mwanamke kuchakachuliwa sijui na muuza urembo mara house boy ukizifuatilia utakuta kuna a bit of weakness kwenye ndoa though sio all the time.

Nashukuru mkuu,
 
Wakuu: habari ya wked? Kuna hili linanisumbua. Inaonyesha ndoa nyingi zinaingiliwa (kunakuwa na cheating) na ma house boy/shamba boy, house girl, marafiki, majirani, wauza urembo, mapedejee na wengine wengi.
Hii inanitisha sana, Naombeni ushauri nifanyeje kabla ya kuoa? Ili nitakapooa nipunguze au kuondokana na karaha hii
Nawakilish

Kabla ya kuoa amini kuwa ukioa sio lazima mkeo awe wako peke yako...
 
Acha woga mkuu.....tafuta mchumba....then oa........
after all, marriage ain't a paradise.......

Ndio mkuu kwasasa nipo katika harakati za kutafuta, mtarajiwa, but i wanted to know what precautions (if any) i should take before marriage?
 
Wakuu: habari ya wked? Kuna hili linanisumbua. Inaonyesha ndoa nyingi zinaingiliwa (kunakuwa na cheating) na ma house boy/shamba boy, house girl, marafiki, majirani, wauza urembo, mapedejee na wengine wengi.
Hii inanitisha sana, Naombeni ushauri nifanyeje kabla ya kuoa? Ili nitakapooa nipunguze au kuondokana na karaha hii
Nawakilish

Elia just be yourself, when you feel like your are ready to get married just do it ukianza kuuliza watu mshikaji wangu kila mtu atakupa experience yake and the end of the day utaishia kutokuoa kwa kuogopa yale watu waliokwambia just know that marriage differs kila mtu ana experience yake mwisho wa siku you are the one to decide what's good and bad for you
 
Siyo wote wenye tabia za ku-cheat hivyo jitahidi kutafuta mtu asiye cheat. na hawa ni wengi tu.
 
Huna haja ya kusema ndoa nyingi zina cheating,kwann ndoa yako isiwe moja kati ya ambazo hazicheat?IT BEGINS WITH YOU,REMEMBER?

The Following 2 Users Say Thank You to Pearl For This Useful Post:

Elia (Today), The Finest (Today)​
 
kaka umenifurahisha sana na swali lako..mie mwenyewe napigiwa kelele mpaka basi kwa hiyo usifikilie huko peke yako..mbaya zaidi ni pale unapooa na kumwacha demu wako bongo nawe kwenda ng'ambo kutafuta maisha au kufanya kazi mikoa tofauti..sasa hapo unakuwa kama umewaolea wengine...
Majibu ni magumu sana..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom