Nifanyeje kabla ya kuoa ?

Hujachelewa, unatakiwa kumwandaa mwanake wa kum-oa, nina uhakika unamchumba, wewe ndio unajua umekuwa nae kwa muda gani? na kwa muda huo umegundua nini kutoka kwake, ingawa kabla ya kuoa mabinti huwa huficha tabia zao mbaya.
experience the behaviour of your partner b4 married, some times unaweza kumuudhi kwa makusudi ili uone anareact vipi? ukizingatia ni rahisi kujua tabia ya mtu pale akiwa na hasira ya kuudhiwa au mkikorofishana au akiwa na uharaka wa jambo fulani.
Mi nimeoa naenjoy full
 
I thought that way, but familia zetu za kibongo hawakuelewi, they keep on insisting/asking when are you going marry

wabongo hapo ndio tunapoharibu sasa hivi vijana wengi wanaoana kwa ajili kuchoswa na hayo maswali ya wewe lini? unakuta mtu anoa kuplease jamii inyomzunguka ingawa hayupo tayari kwa wakati huo, tuache hizi frikra wandugu tuache watu wawe na uhuru wakufanya maamuzi juu ya maisha yao
 
Wakuu: habari ya wked? Kuna hili linanisumbua. Inaonyesha ndoa nyingi zinaingiliwa (kunakuwa na cheating) na ma house boy/shamba boy, house girl, marafiki, majirani, wauza urembo, mapedejee na wengine wengi.
Hii inanitisha sana, Naombeni ushauri nifanyeje kabla ya kuoa? Ili nitakapooa nipunguze au kuondokana na karaha hii
Nawakilish

avatar yako is :A S-fire1:
 
Hujachelewa, unatakiwa kumwandaa mwanake wa kum-oa, nina uhakika unamchumba, wewe ndio unajua umekuwa nae kwa muda gani? na kwa muda huo umegundua nini kutoka kwake, ingawa kabla ya kuoa mabinti huwa huficha tabia zao mbaya.
experience the behaviour of your partner b4 married, some times unaweza kumuudhi kwa makusudi ili uone anareact vipi? ukizingatia ni rahisi kujua tabia ya mtu pale akiwa na hasira ya kuudhiwa au mkikorofishana au akiwa na uharaka wa jambo fulani.
Mi nimeoa naenjoy full

Hongera mkuu, currently sina mtu/mtarajiwa ni more than six month now, nashukuru kwa ushauri wako
 
Wakuu: habari ya wked? Kuna hili linanisumbua. Inaonyesha ndoa nyingi zinaingiliwa (kunakuwa na cheating) na ma house boy/shamba boy, house girl, marafiki, majirani, wauza urembo, mapedejee na wengine wengi.
Hii inanitisha sana, Naombeni ushauri nifanyeje kabla ya kuoa? Ili nitakapooa nipunguze au kuondokana na karaha hii
Nawakilish


OA TU USIOGOPE UTAPATA JIBU.:car:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom