Nina umri wa miaka 30 na mume wangu ana miaka 49, tangu mwaka huu mwezi wa sita amekuwa na tatizo la kutosimamisha uume wake, yaani nashindwa hata kuelewa kwa nini, au ni sababu ya umri? madaktari nisaidieni!
Amina, nawashukuru wote kwa faraja zenu!