LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,123
- 9,167
Naombeni ushauri au msaada wenu mim ni jinsia ME nina 25yrs nina kama 7 yrs hivi sija fanya mapenzi.
Hivi karibun baada ya watu kunishauri japo nitafute hata kadem niwe nakamua kuondoa strees.Kweli nimejaribu na kukutana na hali ya kutokuwa na hisia zozote juu ya mwanamke sometime huwa nakuwa na hamu ya kuongea na mwanamke lakin ndani ya dk kadhaa hali hiyo hubadilika na kutohitaji kuongea na she yoyote yule.
Kuna siku niliingia mkenge akawa ananishika shika kwa kweli mwili wangu haukuwa na mwitikio(hisia) wowote ule.Naamin hata mwanamke anivulie chupi na kukaa uchi sitaman kabisa.
Tatizo hali ya kutaman na hisia za mapenz hunijia mara chache sana.
Je nifanyeje kuboost/kuamsha hisia za mapenzi japo hata niwe na hali ya kutaman tu???
Hivi karibun baada ya watu kunishauri japo nitafute hata kadem niwe nakamua kuondoa strees.Kweli nimejaribu na kukutana na hali ya kutokuwa na hisia zozote juu ya mwanamke sometime huwa nakuwa na hamu ya kuongea na mwanamke lakin ndani ya dk kadhaa hali hiyo hubadilika na kutohitaji kuongea na she yoyote yule.
Kuna siku niliingia mkenge akawa ananishika shika kwa kweli mwili wangu haukuwa na mwitikio(hisia) wowote ule.Naamin hata mwanamke anivulie chupi na kukaa uchi sitaman kabisa.
Tatizo hali ya kutaman na hisia za mapenz hunijia mara chache sana.
Je nifanyeje kuboost/kuamsha hisia za mapenzi japo hata niwe na hali ya kutaman tu???