chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,206
- 304
amua kutoka moyo na uweke akili yako sawa kupokea maamuzi hayo ya moyoni nautaweza
Mkuu Pdidy ukweli ni kwamba mademu wote niliokula kavu kavu hawana ngoma kwa sababu wao wana ujasiri wa kupima kila mara,kuna demu nimeachana na ye mwaka juzi ambaye ilikuwa nioe kabisa,kila mara alikuwa anapima na alikuwa hana mpaka tunaachana na tulikuwa wote kwa miaka miwili,mwingine tumeachana mwezi wa saba mwaka huu na alienda kupima hana,lakini kila nikiga hesabu kwenda kupima nakosa ujasiri kaka
Ushauri
Jipe moyo kuwa ukikutwa + kuna dawa za kupunguza makali ambazo unaweza ishi up to 30 years na huo ugonjwa
kuna mtu namjua alijigungua miaka ya 80 na bado anadunda na anatoa ushuhuda.
Pia unaweza tafuta ndugu au rafiki unayemuamini akusindikize hii itakupa moyo kiasi fulani.
mimi nilipima kwa sababu ilibidi nimtolee damu mama yangu ambaye alikuwa ktk hatari ya kupoteza maisha, ukweli ni kwamba sikuogopa majibu because nilikuwa namfikiria mama yangu.
jipe moyo ndigu yangu, mbona watu wanapima cancer kila siku na hawaogopi kupima, why not ukimwi.
Mkuu Pdidy ukweli ni kwamba mademu wote niliokula kavu kavu hawana ngoma kwa sababu wao wana ujasiri wa kupima kila mara,kuna demu nimeachana na ye mwaka juzi ambaye ilikuwa nioe kabisa,kila mara alikuwa anapima na alikuwa hana mpaka tunaachana na tulikuwa wote kwa miaka miwili,mwingine tumeachana mwezi wa saba mwaka huu na alienda kupima hana,lakini kila nikiga hesabu kwenda kupima nakosa ujasiri kaka
"You can fool some people sometimes.
But you can't fool all the people all the
time."--Bob Marley
hakuna kitu kinanipa shida kama kwenda kupima afya yangu na kuijua afya yangu,nimejitahidi sana kujipa moyo lakini nashindwa kabisa kupata ujasiri wa kupima,nakumbuka mara ya mwisho pale mbeya nilikwenda kupima lakini wakati wa majibu nilipotea na sikupenda kurudi kwenye kituo tena,jamani kuna njia yoyote ya kuniwezesha nipime afya yangu?japo ni bure kupima lakini nimekosa ujasiri,hii ni mara ya pili naleta hii mada humu ndani kuhusu HIV,naomba washauri au wale ambao mliweza kupima mnisaidie ushauri kwani naweza kushawishiwa na ushauri wenu hapa jf kwa kuwa mimi ni msomaji mzuri wa mada za jf
naomba mliopima na kukutwa na virus mniambie yaliyowakuta siku ile baada ya kupewa result
na wale mliopima mkakutwa hamja athirika naomba mseme mlijisikiaje??
Kunywa viroba vya kutosha kama kumi hivi then kapime akili itakwambia liwalo na liwe hutokuwa na hofu tena
There you areMpe demu wko mimba, akijifungua, majibu ya clinic ndo majibu yko.
Nyumbani kunaK-vant au valuu