rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
Hakuna kitu kinanipa shida kama kwenda kupima afya yangu na kuijua afya yangu, nimejitahidi sana kujipa moyo lakini nashindwa kabisa kupata ujasiri wa kupima, nakumbuka mara ya mwisho pale Mbeya nilikwenda kupima lakini wakati wa majibu nilipotea na sikupenda kurudi kwenye kituo tena, jamani kuna njia yoyote ya kuniwezesha nipime afya yangu?
Japo ni bure kupima lakini nimekosa ujasiri, hii ni mara ya pili naleta hii mada humu ndani kuhusu HIV, naomba washauri au wale ambao mliweza kupima mnisaidie ushauri kwani naweza kushawishiwa na ushauri wenu hapa JF kwa kuwa mimi ni msomaji mzuri wa mada za JF.
Naomba mliopima na kukutwa na virus mniambie yaliyowakuta siku ile baada ya kupewa result na wale mliopima mkakutwa hamjaathirika naomba mseme mlijisikiaje??
Japo ni bure kupima lakini nimekosa ujasiri, hii ni mara ya pili naleta hii mada humu ndani kuhusu HIV, naomba washauri au wale ambao mliweza kupima mnisaidie ushauri kwani naweza kushawishiwa na ushauri wenu hapa JF kwa kuwa mimi ni msomaji mzuri wa mada za JF.
Naomba mliopima na kukutwa na virus mniambie yaliyowakuta siku ile baada ya kupewa result na wale mliopima mkakutwa hamjaathirika naomba mseme mlijisikiaje??