Wanasema ucshangae kumwona kenge anakimbia mvua na kuelekea majini,matone ya mvua yanamaumivu yke,ndio kwngu jaman najtahd kuaacha kumfkilia nmeshndwa.Naomben mnshaur labda ushaur wnu utansaidia kuacha kumfkilia.
mpigie 0718868186
hujaweka sawa topic yko" umemaanisha kutoka nae? au unataka kumfanya awe mwenzi wako wa maisha? kabla haujailuhusu akili yako Itamani mrembo huyu awe mama wafamilia yako jalibu kujiuliza kiliwakuta nini mastaa hawa nature&sinta,wema sepetu&kanumba,H baba&uwoya,tyson&monalisa,uwoya&ndikumana,flora&ambani, hao nibaadhi lkn wapo wengi..... sijui unafanya kazi gani lkn uamuzi niwako" binafsi nakushauli utulie na kumthamini uliye nae lkn kama unataka kuwa mtumwa au kuteseka na mapenzi sogea kalibu ya viumbe hao pia kabla hujafanya maamuzi jiulize wao kwa wao wanashindwana wewe utaweza?
senator p atakua mdogo wake senetor.
mwandikie love letter
Unamiaka mingapi?
Masusu.
Mtongoze!!!!
Kabla hata hujaonana naye hakikisha una mambo yafuatayo,una kazi au biasharg ya maana,una gari la kifahari,jumba la kifahari,handsome,account yako iwe inasoma si chini ya milion 500,safari nje ya nchi kila weekend,usiwe na wivu hata ukimkuta wengine,vinginevyo unajisumbua tu,au mfikirie mwingine.