Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetokea kumpenda rafiki yake na mpenzi wangu wa zamani wa sekondari ambaye nimekutana naye chuo tofauti na huyo ex-girlfriend wangu.
hiyo mbona iko sana mujini wanaita kupokezana vijiti au kugongea lol!wewe ex gf wako angekutana na best wako
wakaanzisha libeneke,ungejisikiaje????/
Hivi nyie mbona kila leo hapa JF nimekutana nae Chuo chuo chuo tu, nyie mnaenda kutafuta ma gf huko sio kusoma?
loh u've maf my day! Ndo maana supplementary zimezd!Hivi nyie mbona kila leo hapa JF nimekutana nae Chuo chuo chuo tu, nyie mnaenda kutafuta ma gf huko sio kusoma?
loh u've maf my day! Ndo maana supplementary zimezd!
Wasamehe bure mkuu............wengine wameenda vyuoni "kukua"..........na wengine kusoma,
Si unaona hata mada zao mkuu?Tusaidiane kuwalea hao...........wanaokulia vyuoni kupitia JF.
Wamesikia tetesi kuwa JF kuna Great Thinkers..................ndio mana wanakimbilia hapa.
wamezidi sasa...kwani wakisema tu nilikuwa na gf wangu si inatosha? Mpaka uandike chuo jamani? hahaha by the way magreat thinkers wanakazi
unampenda au unamtamani? Hebu soma huko make naona unaitafuta september conference kwa nguvu na GPA ya 2.it seems you r too young to stand with ur own feet young boy!Nimetokea kumpenda rafiki yake na mpenzi wangu wa zamani wa sekondari ambaye nimekutana naye chuo tofauti na huyo ex-girlfriend wangu.