nifanye nini nimpate mwanangu?

Kama ni wa kwako atakuja tu siku moja, ila kwa sasa sio vyema kuwaharibia huyo mama na mtoto hayo maisha wanayoisha. Muache mtoto awe in a stable home, as far as hali halisi ndio kama ulivyoielezea.
 
Pole sana KINGI.. Tafuta mke ilhali wewe ni lijali, utapata mtoto wako baada ya kufunga ndoa halali.. Pole sana Kaka..
 
Kama ni wa kwako atakuja tu siku moja, ila kwa sasa sio vyema kuwaharibia huyo mama na mtoto hayo maisha wanayoisha. Muache mtoto awe in a stable home, as far as hali halisi ndio kama ulivyoielezea.
sure, hope yatatokea mazingira ya mi kuwa nae (mtoto) kwa vile nahitaji hivyo. Dume ati
Pole sana KINGI.. Tafuta mke ilhali wewe ni lijali, utapata mtoto wako baada ya kufunga ndoa halali.. Pole sana Kaka..

thx, mke atatafutwa ila nia bado ipo na si ya kuharibu mahusiano ya watu. Maji na mafuta hujitenga. Meaning ukweli utajulikana.
 
we chapa malapa, kama ni wako atakuja tu, huitaji kuumiza kichwa. kama mamake hataki kukueleza ukweli poa, damu nzito kuliko maji u know!!!!
 
kiukweli miaka 7 iliyopita nilikuwa na uhusiano na mke (bibi) wa mtu ambao hawajafunga ndoa hadi leo. kipindi hicho damu inachemka kwa sana. akashika mimba na wala hakuniambia mimba ni yangu. baada ya kujifungua ndipo akaniambia kuwa mtoto ni wangu. sikutaka kukubali na akawa ananilazimisha na kutishia kunisusia mtoto. kila aliyemwona alisema mtoto ni wa kwangu. uhusiano na huyo bwana wake nao ukawa na migogoro kipindi hicho. ikafika wakati nikaanza mchakato wa kumkubalia alichosema. ndipo siku tukakutana akaniambia kuwa yule mtoto si wangu na alikuwa anataka kunibambikizia tu. akasema kuwa ndugu wa bwana wake walikuja kumwona mtoto na wakaridhika kuwa ni damu yao. nikakubali shingo upande. huwa nakutana na rafiki yake wa karibu na huwa namuuliza kuhusu huyo mtoto nae anasema kuwa ni wangu, na kwamba wanawake wana siri sana. huwa nakutana na huyo mke wa mtu kwa nadra (si kufanya mapenzi) na nikimuuliza anakataa kabisa na kunipotezea. siku zinavyoenda nazidi kuwa na shauku ya kutaka kujua ukweli na ikibidi kuthibitishiwa ukweli. cha ajabu hadi leo hawajaongeza mtoto mwingine wakati huyo ana miaka 7 sasa. kuna uwezekano wa kumpata huyo mtoto au ndio basi?

Mwambie huyo Mama na Mtoto Muende kupima DNA ili kuthibitisha kama kweli huyo si mtoto wako DNA itasema ukweli ikiwa Damu ya huyo mtoto ya kwako hazifanani na ya kwako basi huyo Mtoto sio wako lakama Damu zenu zinafanan basi huyo Mtoto ni wa kwako huo ndio ushauri wangu. soma hapa chini ni maana ya (DNA) Deoxyribonucleic acid (DNA) is a nucleic acid that contains the genetic instructions used in the development and functioning of all known living organisms and some viruses. The main role of DNA molecules is the long-term storage of information. DNA is often compared to a set of blueprints or a recipe, or a code, since it contains the instructions needed to construct other components of cells, such as proteins and RNA molecules. The DNA segments that carry this genetic information are called genes, but other DNA sequences have structural purposes, or are involved in regulating the use of this genetic information.
Chemically, DNA consists of two long polymers of simple units called nucleotides, with backbones made of sugars and phosphate groups joined by ester bonds. These two strands run in opposite directions to each other and are therefore anti-parallel. Attached to each sugar is one of four types of molecules called bases. It is the sequence of these four bases along the backbone that encodes information. This information is read using the genetic code, which specifies the sequence of the amino acids within proteins. The code is read by copying stretches of DNA into the related nucleic acid RNA, in a process called transcription.
Within cells, DNA is organized into long structures called chromosomes. These chromosomes are duplicated before cells divide, in a process called DNA replication. Eukaryotic organisms (animals, plants, fungi, and protists) store most of their DNA inside the cell nucleus and some of their DNA in organelles, such as mitochondria or chloroplasts.[1] In contrast, prokaryotes (bacteria and archaea) store their DNA only in the cytoplasm. Within the chromosomes, chromatin proteins such as histones compact and organize DNA. These compact structures guide the interactions between DNA and other proteins, helping control which parts of the DNA are transcribed.

[ame]http://en.wikipedia.org/wiki/DNA[/ame]
 

Attachments

  • ADN_animation.gif
    ADN_animation.gif
    912.4 KB · Views: 52
Hii kitu huwa sipendi kuisoma,sababu praktikale inanigusa directly!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom