Brooklyn
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 1,459
- 284
7m mkopo...ni hela kiduchu huwezi kufanya la maana hasa kama ndio unaanza moja...na kwa sababu hauna plan yeyote...warudishie tu hela yao kabla ya interest haijafanya mambo yake...
Ulitaka apewe mkopo wa sh. ngapi kama security ni chattel mortgage na gari yenyewe ni Toyota Vitz?
Hata hivyo Mil 7 si ndogo kama unavyozani, binafsi nilianza na mtaji wa Tzs. laki 9 mil miaka ya tisini, sasa hivi my net worth ......
So tusimkatishe tamaa jamaa, 7 mil ni nyingi sana if he has relevant financial knowledge and experience katika field anayotaka ku invest.
Though kama mpaka sasa hivi hana idea yoyote ya nini afanya, ni bora arudishe pesa au aombe grace period ya miezi kadhaa ili ajipange in terms of the waht to do, developing a business plan, and start up days for the business ambapo sales inakuwa ndogo sana huku iki pick up slowly!!
Otherwise, I wish you all the best!!