Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Nimempa pesa nyingi sana..
Nimemlipia ada ya chuo..
Nimeingia chumvini...
Ufundi mwingi nimetumia...
Zawadi nyingi sana nimemnunulia...
Sehemu za starehe nyingi nimempeleka..
Na mambo kadhaa wa kadhaa....
Bado namuona hana upendo na anachokitaka kwangu ni pesa tu ...
Wataalamu wa Jf nawauliza inawezekana kweli kumbadili aweze kunipenda??
Detailz za mwanamke mwenyewe
1-22 years old
2-Amewahi kuumizwa sana kimapenzi(story amenipa mwenyewe)
3-Ni Msukuma
4-Mahusiano yetu=mwaka 1
Nimemlipia ada ya chuo..
Nimeingia chumvini...
Ufundi mwingi nimetumia...
Zawadi nyingi sana nimemnunulia...
Sehemu za starehe nyingi nimempeleka..
Na mambo kadhaa wa kadhaa....
Bado namuona hana upendo na anachokitaka kwangu ni pesa tu ...
Wataalamu wa Jf nawauliza inawezekana kweli kumbadili aweze kunipenda??
Detailz za mwanamke mwenyewe
1-22 years old
2-Amewahi kuumizwa sana kimapenzi(story amenipa mwenyewe)
3-Ni Msukuma
4-Mahusiano yetu=mwaka 1