Nifanye nini ili aniamini

Hey Marry, nakupa pole sababu jamaa hana time na ww tena ila anataka amege tunda kwanza then athaminishe na muda uliomsumbua. Mimi binafsi kuna binti nilimpenda sana toka 2006 hivi akanizingua lkn 2011 akaja nitafuta, kwa kuwa nilikuwa nishamtamkia nampenda nilijiachia kwake. Lakini nasikitika kwamba nimemwacha baada ya kula mwaka mzima, so take care.
 
]marry kwanza hongera kwa kumpata mchumba. pia huyu nakuhakikishia ndiye mumeo wa kweli from god. HILI lina mfano wa dhahiri kabisa na kama unataka ushuhuda ni pm.[/B]

ila aausibebe mimba ma dear wala usizini jaribu kweli kucontai hisia za mapenzi kwanza ili mfunge kwanza ndoa. kumbuka marry tunategemea wachumba waoane wakiwa wote mabikira so hata kama huna usiiachie tena manake aweza kuipata pasi kutarajia ukajajuta na ukakuta umevunja mwiko wako. kwangu mimi naamin waweza kujitunza msifanye hadi siku ya honey moon na tena siku hiyo ukajikuta huwez ku do manake kidanguro cha weza kukuumbua. hebu tulia ma dearest

usipende kukaa naye sehem za faragha ama kumtembelea home kwake utajikuta umezini tu onana naye mahali pa wazi kisha kila mtu achukue time

Kwenye bold sawasawa umenena
Kwenye blue tayari keshaingia kwenye mapenzi na ngono wanafanya.........Itakuwaje?
Kwenye red hapo sasa hofu ya kijana ndipo itapaa...atauliza kulikoni tena kunikwepa
 
Unaogopa mimba kuliko zinaa siyo? Ukimwi mmeshapima? Ingia kwenye ndoa naye aanze kukulipizia.... Chezeya sisi vidume?

tumepima bishanga,nampenda kwa sasa tena sana ila masharti yake magumu sana kwa nini anijaza mimba kabla hajanioa
 
khaaaaa! Yaani kumbe mnajijuaga kuwa mnatulipizia! Lol!

huwa natafakari sana,pengine kuwa anataka kunifanyia revengi coz nilomfanyia ni mengi ya kumkwaza na bado yupo, sema nimejitoa muhanga this time akisepa poa tu sitamng'ang'ania
 
nilifahamiana na huyu kaka miaka kumi na mbili iliyopita, alisha propose mara tatu na zote sikukubali,na pia nimemfanyia vituko vingi sana ili akae mbali na mimi, miezi kama mitatu imepita siku moja nikanza kumuwaza in a positive way,nikakumbuka mazuri yake na kutamani niwe nae, uwezi amini the same day nawaza akanipigia simu nikaongea nae vizuri kwa utulivu mwingi, hakuamini kama ni mimi na usiku wa siku hiyo akanipigia tena na kupropose kwa mara ya nne, nilimkubalia, tupo kwenye mahusiano sasa hivi yamekolea balaaaa, ila mwenzangu ana wasi wasi mwingi kwamba naweza kumwaga muda wowote, na anataka anijaze mimba kabla sijabadili mawazo,sipo tayari kubeba mimba kabla ya ndoa

nifanye nini ili aniamini nampenda kwa dhati na sipo tayari kumpoteza. ili asubiri tufunge ndoa kwanza ndo nipate ujauzito

Bi mkubwa kabla sijakupa ushauri wangu labda ningekuuliza kitu kidogo, what made you change your mind about him now? kabla ya kuamua kumkubali nini kimetokea kwenye mahusiano yako yaliyopita (nataka nipate picha ya reason ya wewe kuamua kubadili mawazo now) hii itasaidia kukushauri even if your feelings are really or just a wind which might pass after a while na kuanza kumuona vile vile ulivyokuwa unamuona mara tatu zilizopita alizopropose
 
marry kwanza hongera kwa kumpata mchumba. pia huyu nakuhakikishia ndiye mumeo wa kweli from god. HILI lina mfano wa dhahiri kabisa na kama unataka ushuhuda ni pm.

ila aausibebe mimba ma dear wala usizini jaribu kweli kucontai hisia za mapenzi kwanza ili mfunge kwanza ndoa. kumbuka marry tunategemea wachumba waoane wakiwa wote mabikira so hata kama huna usiiachie tena manake aweza kuipata pasi kutarajia ukajajuta na ukakuta umevunja mwiko wako. kwangu mimi naamin waweza kujitunza msifanye hadi siku ya honey moon na tena siku hiyo ukajikuta huwez ku do manake kidanguro cha weza kukuumbua. hebu tulia ma dearest

usipende kukaa naye sehem za faragha ama kumtembelea home kwake utajikuta umezini tu onana naye mahali pa wazi kisha kila mtu achukue time

asante sana dada mkubwa kwa ushauri
 
nashangaa kwa nini wanawake wanaogopa sana mimba kabla ya ndoa, mbona sielewi? Why?

Yaani yuko radhi azichomoe hadi aolewe au asubiri hata afikishe miaka 40 hazai wakati anapenda watoto.

Ndoa si suluhisho, ni bora kuwa kwenye mahusiano yenye afya hata kama si ndoa kuliko kukalia kuti kavu ndoani.

Kongosho unajua nini mpenzi, mimi mwenyewe simjui baba yangu alikula kona ya kulea na hata hakutaka kuwajua watoto wake, hiyo imeniuma sana sipendi mwangu aishi maisha hayo na ndio maana napenda nazae nikiwa ndoani kama mungu akijaalia, ili watoto wangu wapate kumjua na kumpanda baba yao
 
Asprin kama mwanaume atakuja kumtenda kwa nia ya kulipiza basi huyo ni shetani, ningependa kumwambia marykate aende akasome thread ya Mbu .....umethubutu asome post hiyo vizuri sana ataona what it takes to start maisha ya ndoa.

ila asijali wala msimuonyeshe upande mbaya wa maisha.

Akasome pia na Uzi wa felixonfelix kuhusu wanawake kuingia mkenge. Siku zoote ulikuwa unamkataa kwa nini? Na kwa nini sasa umemuona anafaa? Uko desperate kuolewa tu, na ukiishakaa na Pete kidoleni utajuta Kama sio kujutishwa!

Note: revenge is the meal best served cold (saa zingine najichungulia baiolojia yang manake nahisi nakuwa Kongosho
 
Last edited by a moderator:
Kama mshkaji anaharaka sana si mfunge ndoa tu hata kesho au wewe unamuwekea pingamizi akitaka kukuoa fasta fasta?


anataka ndoa ifungwe ila sharti ni kunijaza kwanza ujauzito, ana wasi wasi na mimi eti naweza badilisha mawazo

kingine anataka akiwa na miaka 35 awe na mtoto ambayo atatimiza mwaka kesho mwezi wa tano, nampenda sana ila sharti la kuzaa kabla ya ndoa ni gumu sana kwangu,
 
duh miaka kumi na mbil iliyopita nilikuwa form 1 kudadek jamaa bnamoyo kweli mi mwanamke miez 3 tu inatosha kukuvutia punzi else natupa kule then kipind chote icho lazma ntapunguza kujiamin ata kama nitakuwa nawewe .jichek jamaa anawez kukupa kibut cha aja umlele mtoto peke yako .ogopa mbwa koko akipata upenyo ata ikibidi kung'ata atang'ata ili aponye nafsi yake[/QUOTE

hiyo pia ianwezekana ila ngumu kumesa kwa sasa duu, incase ikitokea yote heri aende kwa amani
 
Natamani kujua ni kipi kilichokufanya urudishe majeshi nyuma baada ya kumdengulia mara tatu zote?
Kwa nini iwe sasa ndo ulegeze kamba? Ni vigumu kwa sasa kutoa ushauri wowote zaidi sana utakuwa usiona mashiko. WANAWAKE VIUMBE WA AJABU SANA TENA SANA.
 
Akasome pia na Uzi wa felixonfelix kuhusu wanawake kuingia mkenge. Siku zoote ulikuwa unamkataa kwa nini? Na kwa nini sasa umemuona anafaa? Uko desperate kuolewa tu, na ukiishakaa na Pete kidoleni utajuta Kama sio kujutishwa!

Note: revenge is the meal best served cold (saa zingine najichungulia baiolojia yang manake nahisi nakuwa Kongosho

hakunivutia kwa sura kwa mara ya kwanza ndo , ila matendo yake ni mienendo yake ya maisha, uvumilivu wake na uelewa wake ndo ulionivutia kipindi hiki, sitamani kumpoteza kabisa, kuhusu kutamini ndoa hapana dada yangu yaani hiyo sio priority kabisa kwangu nilikuwa tayari kuishi singo kama sitakutana na mwanaume mwenye vitu ninvyovitaka, wapo wiwili walotaka kunioa nikawachingia baharini as hawakukidhi matakwa yangu kwa huyo nimepunguza la sura, mambo mengine yote tunaelewana saaaaan
 
Akasome pia na Uzi wa felixonfelix kuhusu wanawake kuingia mkenge. Siku zoote ulikuwa unamkataa kwa nini? Na kwa nini sasa umemuona anafaa? Uko desperate kuolewa tu, na ukiishakaa na Pete kidoleni utajuta Kama sio kujutishwa!

Note: revenge is the meal best served cold (saa zingine najichungulia baiolojia yang manake nahisi nakuwa Kongosho

shostito King'asti kuna post nime mquote boss some where jana nafikir niliainisha haya unayoyasema ilikuwa ni kwenye uzi wa Mbu ngoja niiangalie halafu nitakupostia.
 
Last edited by a moderator:
Bi mkubwa kabla sijakupa ushauri wangu labda ningekuuliza kitu kidogo, what made you change your mind about him now? kabla ya kuamua kumkubali nini kimetokea kwenye mahusiano yako yaliyopita (nataka nipate picha ya reason ya wewe kuamua kubadili mawazo now) hii itasaidia kukushauri even if your feelings are really or just a wind which might pass after a while na kuanza kumuona vile vile ulivyokuwa unamuona mara tatu zilizopita alizopropose

nimekutana na makorokoro ya kutosha tu kwenye mahusiano yaliyopita siwezi kuyaelezea hapa, in short nilikuwa napenda wauza sura, mwenye maumbo mazuri warefu, wapana wapan dezain, kama mapower vile hehehe, sasa hivi nimegundua mwonekano hauna mashiko bali ni tabia njema na njisi mtu anayokuthamini na kukujali, on top of that in mvumilivu sana sijawahi ona, pamoja na uelewa wake ndo vilivyonifanya nikakubali haraka haraka,


note katika hiyo miaka kumi na mbili sita ya mwanzo alikuwa rafiki yangu wa kawaida kabla hajanza kuleta hizo proposal, tunashare intersest nyingi mmo, tunaelewana kwa kila kitu tatizo ni mwonekanao wake,tunalingana urefu na mimi nilipenda mwanaume anaenizidi urefu
 
Back
Top Bottom