nyengo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 454
- 184
Naomba nisaidieni jamani. Nimetokea kutokuwa na appetite ya kula, appetite ya mapenzi na nime loose kilo 6 ndani ya miezi 3. Nilikuwa na kilo 85 na sasa nina kilo 79. Sijui kama kulala kwangu late kama saa 6-7 usiku na kuamka saa 1 asubuhi kumechangia, sijui.