ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Habarini! Leo majina yatatoka na vituo tulivyo pangiwa hata yasipo toka leo ila ni lazima yatatoka hio ni panga pangua,either unapenda au hupendi na naamini lazima nipangiwe sasa mm hapa nilipo nafukuzia niwe mkuu wa shule nitakayo pangiwa nikifika niambieni nini nifanye ili niupate huo ukuu wa shule coz kwa mishahara yetu hii bila department huko kazini duuu ni shida! Kati ya hizi
Ukuu wa shule
Academic master
Au mwalimu wa chakula
Nifanyaje
Ukuu wa shule
Academic master
Au mwalimu wa chakula
Nifanyaje