jimjamtz
Senior Member
- Mar 13, 2008
- 153
- 28
Ndugu wana JF,Ninaomba sana mnitajie sinema alizo igiza Mar.Kanumba ili niweze kuzitafuta maana sikuwai kuwa na Bahati ya kuangalia matoleo yake.
Nimesoma kwenye magazeti kuwa aliweza ku ACT sinema 40 plus ,habari hizi ni za kweli.
Nitafurai kupata majibu.
Nimesoma kwenye magazeti kuwa aliweza ku ACT sinema 40 plus ,habari hizi ni za kweli.
Nitafurai kupata majibu.