Mwenye akili anajuwa kufudisha mpaka hayawani anaelewa, wabongo tumeshindwa hata kufudisha forofo wakala mizinga ya kufa mtu-tuna akili kweli?
Si unaona, sukari inapanda kwa 25% ndani ya mwezi, mabomu yanatulipukia kwa uzembe wa mshenzi fulani tumetulia, jamaa kachakachua uchaguzi tunaona hayatuhusu miaka 5 siyo mbali, machinga wana timuliwa mjini bila kupewa alternative, tunaona shauri yao, wamegawa madini yote tunaona bomba tu hivi tulilogwa na nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.