NIDA yapata tuzo ya vitambulisho bora vya Uraia Afrika

Shida ni gharama iliyotumika na matokeo yake, ulinganifu haupo ! Hapo ndiyo penye tatizo . Andishi si tatizo wala tuzo si tatizo.
You're right na hapo ndipo penye hoja ya msingi lakini vilevile isije ikawa kwamba walipangiwa hizo bilioni kadhaa lakini walichopewa sicho walichopangiwa manake hiki ndicho kimekuwa kikiendelea hata kwenye zile wizara nyeti! Na hasa ukizingatia kwamba baada ya Escrow donors waligoma kutoa ufadhili wao, then I doubt kama serikali ingepeleka pesa NIDA wakati hata kwenye matumizi yasiyozuilika hali ilikuwa si shwari!

Kuhusu signature... concern yangu wala sio signature kv tayari tulishaweka digital signature na thumb print. Kitu ambacho nilitarajia ni ID cards zenye microchips kwa ajili ya ku-retrieve ID data pamoja na signature. Hata hivyo, maybe wanatumia njia tofauti ku-retrieve data kv kuingiza ID number kwenye system.
 
Huyo rais amekurupuka kuwa na sign ndani ya vitambulisho siyo indication ya ubora wa kitambilisho.. kwani kuna nchi kibao kubwa lakini kwenye vitambulisho vyao hamna sign lakini alitumia lugha ile rahisi ili aweze kujenga na ku justfy uwamuzi wake wa kuwatia kazi kwa ma layman kama nyinyi
nipe mfano wa nchi kubwa ambayo vitambulisho vyao havina sahihi
 
SACCOS IPI? KUMBE NIDA NI SACCOS YYA MSURE?JK ALIWATEGA WATANZANIA NA KITU NISHANI...DEGREE ALIZOZAWADIWA AZIPELEKE JUMBA LA MAKUMBUSHO NI TUZO ZA RAIS WA TANZANIA SIO ZA KWAKE BINAFSI.ZIKAWEKWE PAMOJA NA TUZO ZA NIDA...MPANGO MZIMA
 
Naomba kuuliza umuhimu wa signature ni nini? Details zote zimo kwenye database ya NIDA. Madamu picha inaonekana vizuri haitoshi hata kwa matumizi ya kibenki?

Ungeuliza swali hili siku ulipoweka sahihi kwenye kitambulisho chako cha shule. Swine!
 
  • Thanks
Reactions: cpt
Hizi nishani zina politics ndani yake. Ukiwakirimu organisers unapat kiulaini mfano Mzee wa Msoga

Mkweree yeye alikuwa wa kwanza kupata kitambulisho chake ,je yeye hakuona kasoro katika utendaji wa NIDA? Inawezekana kuwa alikuwa anafumbia macho kama kulikuwa na mapungufu, na kama ni hivyo kwa motivation gani?
 
Mkweree yeye alikuwa wa kwanza kupata kitambulisho chake ,je yeye hakuona kasoro katika utendaji wa NIDA? Inawezekana kuwa alikuwa anafumbia macho kama kulikuwa na mapungufu, na kama ni hivyo kwa motivation gani?
Tenda ni ya Mdogo wake Yaani Benard Membe na mpambe wake Jack Gotham ulitegemea nini? Kumbuka baadhi ya hizo pesa ndizo zimetumika kwenye kampeni kununua magoli ya mikopo, kuhujumu Ukawa, kuwanunua Lipumba na Slaa, walitumia pesa za NIDA pamoja na zile za marehemu Gadafi, sasa moto umewaka taratibu wanaanza kuisoma Namba japo Membe yupo busy na ile kamati yake ya Ufundi toka Gambia na vikao vya kumjadili Magufuli haviishi vichwa na pressure zipo juu ajabu.
 
expiring date ni kawaida,maana utarenew.ila ndo hivyo nida imetumia mabilioni hata mkoa wa dar tu wote hawajapata vitambulisho vyao,sasa kwa nchi nzima vipi si watatumia matrilion
NIDA pesa imepigwa na watu wachache sana yaani Membe, Jack Gotham na wengineo wachache, pesa haukufanya kazi iliyokusudiwa bali wajanja wachache wamejitafunia kifisadi tu.
 
P
hizo wazipeleke msoga kwa muhusika anaeandaaga mazingira ya kupewa
pesa nyingi Membe kaitumia kwenye kampeni kuwahujumu Ukawa na kumdhoofisha Lowasa, alitumia Mabilion kuleta waganga wa kienyeji toka Gambia na Nchi nyinginezo nyingi, sasa kimenuka anahaha kwenda Msoga kumwomba Kikwete amtulize Magufuli ajikaushe upepo upite kama kawaida ya Tanzania Nchi ya vioja vingi.
 
Huyo rais amekurupuka kuwa na sign ndani ya vitambulisho siyo indication ya ubora wa kitambilisho.. kwani kuna nchi kibao kubwa lakini kwenye vitambulisho vyao hamna sign lakini alitumia lugha ile rahisi ili aweze kujenga na ku justfy uwamuzi wake wa kuwatia kazi kwa ma layman kama nyinyi
Mkuu taja nchi moja kubwa ambayo vitambulisho havina sign.
 
Back
Top Bottom