NIDA yapata tuzo ya vitambulisho bora vya Uraia Afrika

Mimi ndo kwanza nimejua juzi kua kuna vitambulisho vya uraia, mi nilikua najua kichinjio ndo cha uraia. Nasikia vitambulisho vyenyewe vina expire date (Sijathibitisha coz sijawahi kuviona).
expiring date ni kawaida,maana utarenew.ila ndo hivyo nida imetumia mabilioni hata mkoa wa dar tu wote hawajapata vitambulisho vyao,sasa kwa nchi nzima vipi si watatumia matrilion
 
Havina signature...Je vina namba...?????nani anacho namba moja....je hakuona hakina signature yake....kuweka signature ina gharimu kiasi gani...???
 
Naomba kuuliza umuhimu wa signature ni nini? Details zote zimo kwenye database ya NIDA. Madamu picha inaonekana vizuri haitoshi hata kwa matumizi ya kibenki?
 
Naomba kuuliza umuhimu wa signature ni nini? Details zote zimo kwenye database ya NIDA. Madamu picha inaonekana vizuri haitoshi hata kwa matumizi ya kibenki?
Na kwa jinsi zile ID zilivyo na taarifa nyingi za electronics, endapo zoezi lingekuwa successful data base ya NIDA ingeweza kutumiwa hata na vyombo vya usalama ktk ku-track watuhumiwa wa aina mbalimbali.
 
Shida ni gharama iliyotumika na matokeo yake, ulinganifu haupo ! Hapo ndiyo penye tatizo . Andishi si tatizo wala tuzo si tatizo.
 
Inawezekana hayo mabilioni ndiyo waliyopangiwa kuyatumia ILA HAYAKUFIKA YOTE.
 
Kipindi cha mzee wa Msoga hizi award za kajamba nani zilikuwa nyingi kama mchanga. Hivi kweli utatoa award kwa kitambulisho kisicho hata na saini ya mtumiaji?
mbona mlikuwa hamsemi hapo mwanzo kuwa vitambulisho havikuwa na saini? mpaka mmesubiri Magufuli kusema. Kikwete alitekeleza wajibu wake kwa kuratibu hiyo program pamoja na kui-fund. sasa kama hao wameharibu magufuli ashughulike nao sio kumkebehi Kikwete aliyelianzisha hili kwa nia njema kabisa.
 
Havina signature...Je vina namba...?????nani anacho namba moja....je hakuona hakina signature yake....kuweka signature ina gharimu kiasi gani...???
ID Number ipo na ime-include tarehe ya kuzaliwa, postcode na namba zingine mbili! For instance 19950620-15105-00001-25... ya kwanza ni tarehe ya kuzaliwa (20/06/1995); inayofuata ni postcode ya eneo unaloishi (15105). Hizo mbili za mwisho sijui zina-define nini ingawaje hiyo 25 nadhani ndo unique number yenyewe kwa eneo husika!! Hata hivyo, hiyo format mara nyingi inagoma kwenye some online applications unless uachane na tarehe ya kuzaliwa na postcode ambazo kimsingi zitakuwa zinafanana na baadhi ya vitambulisho vingine.
 
mbona mlikuwa hamsemi hapo mwanzo kuwa vitambulisho havikiwa na saini? mpaka mmesubiri Magufuli kusema. Kikwete alitekeleza wajibu wake kwa kuratibu hiyo program pamoja na kui-fund. sasa kama hao wameharibu magufuli ashughulike nao sio kumkebehi Kikwete aliyelianzisha hili kwa nia njema kabisa.
Kuna thread nyingi sana kuhusu hivyo vitambulisho na suala la saini lilijadiliwa sana baada ya banks kukikataa. Ni wewe tu na u-nyumbu wako ulikuwa hujajua. Kikwete aliharibu kila sehemu siwezi kumsifia kinafiki kama wewe. Magufuli anachofanya ni kusafisha uchafu wa mzee wa Msoga.
 
ok kwa kumnukuu magufuli nida walitumia sh. 178,700,000,000 kutoa vitambulisho 2,000,000
hapa gharama kwa kila kitambulisho ni
178,700,000,000/2,000,000
ambayo ni 89,350 kwa kitambulisho kimoja
KWELI WANASTAHILI TUZO!!
 
Naomba kuuliza umuhimu wa signature ni nini? Details zote zimo kwenye database ya NIDA. Madamu picha inaonekana vizuri haitoshi hata kwa matumizi ya kibenki?
Mi nlitaka nijue pia..hasa universal standards za vitambulisho 'naamini zipo',pia tujue labda justification yao kutoonyesha signature ni ipi na kama kuna security reason au waliamua tu!

Tumezoea IDs nyingi picha na sahihi ndio vitu vya kwanza kwenye uhakiki..najua kuna finger prints,security codes etc.

Labda mwenye kujua reason behind ya ku hide signature (kwakua ipo kwenye database yao) isionekane kwenye ID ilikua ni nini.

Hii inaweza ikatupanua ufahamu ili tuwe fair kwenye ku assess quality ya ID hizi.
 
hahahahaha mimi nilishangaa sana nilipoona vitambulisho vya watu havina sahihi zao,halafu watu miaka mitatu sasa hatujapata vitambulishi,na hapo ni mkoa wa Dar tu,maana mikoa mingine bado NIDA ni sacoss ya watu flani flani
Huyo rais amekurupuka kuwa na sign ndani ya vitambulisho siyo indication ya ubora wa kitambilisho.. kwani kuna nchi kibao kubwa lakini kwenye vitambulisho vyao hamna sign lakini alitumia lugha ile rahisi ili aweze kujenga na ku justfy uwamuzi wake wa kuwatia kazi kwa ma layman kama nyinyi
 
Hongereni Sana Nida ilikuwa lazima mpate tunzo maana NEC walitengeneza vitambulisho vya mpiga kura kwa wastani wa Tsh 3,000/= kwa kila kimoja Ila NIDA wametengeneza kwa Tsh 90,000/= kwa kila kimoja lazima wangeshinda tu.
 
Back
Top Bottom