Mkurabitambo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2010
- 230
- 57
Dar Es salaam ni mji ambao kwanza haujapangika,hakuna miundo mbinu na madhaifu mengine mengi. Kwa taarifa za NIDA wametenga tareh 22 Jun had 21 July kuwa ni siku za kuhakiki watu na makazi kwa mkoa wa Dae Es salaam..wanahitaji Mtanzania awe na cheti cha kuzaliwa,au cha elimu yoyote au leseni au kitambulisho cha mpiga kura.
maswali kwa NIDA
i) Mtawezaje hakiki watu ziadi ya million 6 kwa siku 30? wakati walimu 3000 wanaishinda serikali kufanya uhakiki wao?
ii) si kila mtanzania anatimiza masharti mliyo weka,Je mtamsaidiaaje
BUSARA ITUMIKE SIO KUKURUPUKA NA MAAMUZI DHAIFU
maswali kwa NIDA
i) Mtawezaje hakiki watu ziadi ya million 6 kwa siku 30? wakati walimu 3000 wanaishinda serikali kufanya uhakiki wao?
ii) si kila mtanzania anatimiza masharti mliyo weka,Je mtamsaidiaaje
BUSARA ITUMIKE SIO KUKURUPUKA NA MAAMUZI DHAIFU