NIDA nao ni DHAIFU

Mkurabitambo

JF-Expert Member
Feb 3, 2010
230
57
Dar Es salaam ni mji ambao kwanza haujapangika,hakuna miundo mbinu na madhaifu mengine mengi. Kwa taarifa za NIDA wametenga tareh 22 Jun had 21 July kuwa ni siku za kuhakiki watu na makazi kwa mkoa wa Dae Es salaam..wanahitaji Mtanzania awe na cheti cha kuzaliwa,au cha elimu yoyote au leseni au kitambulisho cha mpiga kura.
maswali kwa NIDA
i) Mtawezaje hakiki watu ziadi ya million 6 kwa siku 30? wakati walimu 3000 wanaishinda serikali kufanya uhakiki wao?
ii) si kila mtanzania anatimiza masharti mliyo weka,Je mtamsaidiaaje


BUSARA ITUMIKE SIO KUKURUPUKA NA MAAMUZI DHAIFU
 
Dar Es salaam ni mji ambao kwanza haujapangika,hakuna miundo mbinu na madhaifu mengine mengi. Kwa taarifa za NIDA wametenga tareh 22 Jun had 21 July kuwa ni siku za kuhakiki watu na makazi kwa mkoa wa Dae Es salaam..wanahitaji Mtanzania awe na cheti cha kuzaliwa,au cha elimu yoyote au leseni au kitambulisho cha mpiga kura.
maswali kwa NIDA
i) Mtawezaje hakiki watu ziadi ya million 6 kwa siku 30? wakati walimu 3000 wanaishinda serikali kufanya uhakiki wao?
ii) si kila mtanzania anatimiza masharti mliyo weka,Je mtamsaidiaaje


BUSARA ITUMIKE SIO KUKURUPUKA NA MAAMUZI DHAIFU

Mimi ni mkazi wa Dar, lakini taarifa hizi sina. Hivi nilitakiwa kuzipata wapi. Poor me or Poor the system?! Halafu NiDa si wale wanaotoa vitambulisho! Hii ya kuhakiki watu na makazi ndo jukumu lao? Mbona naona kama vile hii ni kama sensa ya watu na makazi. Au wewe ndo umekosea kwenya hii taarifa?!
 
Mimi ni mkazi wa Dar, lakini taarifa hizi sina. Hivi nilitakiwa kuzipata wapi. Poor me or Poor the system?! Halafu NiDa si wale wanaotoa vitambulisho! Hii ya kuhakiki watu na makazi ndo jukumu lao? Mbona naona kama vile hii ni kama sensa ya watu na makazi. Au wewe ndo umekosea kwenya hii taarifa?!
hapana kaka Tangazo hilo lipo na kama unabisha tembelea ofisi za kata yako utaambiwa.....
 
Dar Es salaam ni mji ambao kwanza haujapangika,hakuna miundo mbinu na madhaifu mengine mengi. Kwa taarifa za NIDA wametenga tareh 22 Jun had 21 July kuwa ni siku za kuhakiki watu na makazi kwa mkoa wa Dae Es salaam..wanahitaji Mtanzania awe na cheti cha kuzaliwa,au cha elimu yoyote au leseni au kitambulisho cha mpiga kura.
maswali kwa NIDA
i) Mtawezaje hakiki watu ziadi ya million 6 kwa siku 30? wakati walimu 3000 wanaishinda serikali kufanya uhakiki wao?
ii) si kila mtanzania anatimiza masharti mliyo weka,Je mtamsaidiaaje


BUSARA ITUMIKE SIO KUKURUPUKA NA MAAMUZI DHAIFU

Hawahakiki vyeti wala watu, wanaorodhesha wakazi. Zoezi hili linafaanyika mtaa kwa mataa na kila kata ina watu wake. Kama huamini watu milioni 6 wanaweza kuchekiwa taarifa zao kwa mwezi mzima, unaamini vipi serikali itaweza kuhesabu sensa watu zaidi ya milioni 40 kwa siku 7?

NIDA wameanza zoezi kwa kusuasua lkn nimeona progress nzuri mtaani. Wanashirikiana na serikali za mitaa kwa hiyo ondoa shaka.
 
nakuunga mkono.

Juzi nilienda kutembelea famikia yangu, tunaishi kitongoji kimoja ila ni mwendo kama dakika 20 -30 kwa miguu, nikakuta nida wameenda kuhakiki, kwanza nilishangaa, then nikawauliza walianza tokea lini? Wakanijibu toka tar 22.

Nikawauliza kwa nini hamjafika niishipo, au washapita wakashindwa kunijibu. Nikawauliza inakuaje kwa wanaoshinda kwenye mihangaiko wamekisa majibu, mjumbe waliyekuja nae kajitetea kuwa mjumbe wanhu ndo anapaswa kutoa taarifa.....

Ni wangapi hilo zoezi linawapita?
 
Back
Top Bottom