Nicholas Mgaya anamwongoza nani?

Shansila

Senior Member
Jan 28, 2012
189
36
Nilipigwa na butwaa nilipomsikia kiongozi huyu mkubwa wa TUCTA taifa akibeza mgomo wa madaktari,akidai kuwa si halali,pamoja na mambo mengine.Pamoja na kuwa haya ni mawazo yake binafsi na anao uhuru wa mawazo,na pengine yuko sahihi,kauli aliyoitoa ni kauli isiyotegemewa kutoka kwa kiongozi anayeongoza taasisi yenye malengo ya kudai haki za wafanyakazi.Hajui kuwa iwapo madai ya madaktari yatafanyiwa kazi, hata wafanyakazi anaowaongoza wanaweza kufaidika.Kauli yake ni kielelezo cha uongozi wake,ambapo shirikisho hili limebakia likiwanufaisha viongozi tu,huku maslahi ya wafanyakazi yakipuuzwa licha ya gharama za maisha kupanda sana!Ni kauli ya kuvunja moyo,na no sawa na mtu anapovamiwa na wezi nyumbani na kupiga yowe ambapo jirani anajitokeza lkn badala ya kukusaidia wewe,anawasaidia wezi !Sielewi huyu jamaa huwa anachaguliwa na nani,ila mimi namwona kama kikwazo cha mustakabali na ustawi wa wafanyakazi
 
Nilipigwa na butwaa nilipomsikia kiongozi huyu mkubwa wa TUCTA taifa akibeza mgomo wa madaktari,akidai kuwa si halali,pamoja na mambo mengine.Pamoja na kuwa haya ni mawazo yake binafsi na anao uhuru wa mawazo,na pengine yuko sahihi,kauli aliyoitoa ni kauli isiyotegemewa kutoka kwa kiongozi anayeongoza taasisi yenye malengo ya kudai haki za wafanyakazi.Hajui kuwa iwapo madai ya madaktari yatafanyiwa kazi, hata wafanyakazi anaowaongoza wanaweza kufaidika.Kauli yake ni kielelezo cha uongozi wake,ambapo shirikisho hili limebakia likiwanufaisha viongozi tu,huku maslahi ya wafanyakazi yakipuuzwa licha ya gharama za maisha kupanda sana!Ni kauli ya kuvunja moyo,na no sawa na mtu anapovamiwa na wezi nyumbani na kupiga yowe ambapo jirani anajitokeza lkn badala ya kukusaidia wewe,anawasaidia wezi !Sielewi huyu jamaa huwa anachaguliwa na nani,ila mimi namwona kama kikwazo cha mustakabali na ustawi wa wafanyakazi

Naye huyu ni hopeless guy ambaye hajawahi kufanikisha lolote la wafanyakazi. We are paying quite dearly from our salaries to run these hopeless unions.
 
mgaya anapigania kima cha chini angalau kifikie 350,000/ hawa madaktari wanataka milioni saba hataelewana. Na nafikiri wafanyakazi wa umma wengine haya madai ya madaktari yamekuwa too much. Kwa wale wanaokumbuka unafanana na ule mgomo wa walimu uilotaka kuongozwa na raisi wa sijui mashanga wakati wa mwinyi!
 
mgaya anapigania kima cha chini angalau kifikie 350,000/ hawa madaktari wanataka milioni saba hataelewana. Na nafikiri wafanyakazi wa umma wengine haya madai ya madaktari yamekuwa too much. Kwa wale wanaokumbuka unafanana na ule mgomo wa walimu uliotaka kuongozwa na raisi wao sijui mashanga wakati wa mwinyi!
 
Nilipigwa na butwaa nilipomsikia kiongozi huyu mkubwa wa TUCTA taifa akibeza mgomo wa madaktari,akidai kuwa si halali,pamoja na mambo mengine.Pamoja na kuwa haya ni mawazo yake binafsi na anao uhuru wa mawazo,na pengine yuko sahihi,kauli aliyoitoa ni kauli isiyotegemewa kutoka kwa kiongozi anayeongoza taasisi yenye malengo ya kudai haki za wafanyakazi.Hajui kuwa iwapo madai ya madaktari yatafanyiwa kazi, hata wafanyakazi anaowaongoza wanaweza kufaidika.Kauli yake ni kielelezo cha uongozi wake,ambapo shirikisho hili limebakia likiwanufaisha viongozi tu,huku maslahi ya wafanyakazi yakipuuzwa licha ya gharama za maisha kupanda sana!Ni kauli ya kuvunja moyo,na no sawa na mtu anapovamiwa na wezi nyumbani na kupiga yowe ambapo jirani anajitokeza lkn badala ya kukusaidia wewe,anawasaidia wezi !Sielewi huyu jamaa huwa anachaguliwa na nani,ila mimi namwona kama kikwazo cha mustakabali na ustawi wa wafanyakazi


Huyu Mgaya, aligeuka nyuma na kuanza kulamba viatu vya Mkuu wa magamba; mara tu baada ya hotuba ile ya mbayuwayu! Shame upon him!
 
huyu ndugu, alishaisoma serikali yetu ukipiga kelele unachukuliwa na kuwekwa kula manono ya nchi .namuona ,anatamani sana mgomo huu angeongoza yeye, lakini alituacha nyuma pale alipomkaribisha mkuu wa kaya kwenye sherehe ya waalimu kule songea ,baada ya kusogeleana meza moja basi makali yote yallisha .tuna sema yeye akae kimya ataona kiwango kitakacho lipwa.HIvi mtu ukisema ma dr wamedai kiasi kikubwa je unajua pato la nchi ? do you think dr are stupid to the extend ,think uot the box,or open your library(brain) before mmmmmmmmmm
 
mgaya anapigania kima cha chini angalau kifikie 350,000/ hawa madaktari wanataka milioni saba hataelewana. Na nafikiri wafanyakazi wa umma wengine haya madai ya madaktari yamekuwa too much. Kwa wale wanaokumbuka unafanana na ule mgomo wa walimu uilotaka kuongozwa na raisi wa sijui mashanga wakati wa mwinyi!

Kama vipi wakamate kitabu wasomee udaktari!
 
Ni ukweli hawakufuata taratibu za kugoma ikiwa ni pamoja na kumpa mwajiri siku 60 kabla ya kugoma
 
wafanya mchezo na CCm nini? unaweza kuta wamefadhiri ukarabati unaendelea pale makao makuu yao!
 
Mimi nashangaa mtu unapozungumzia utaratibu kutofuatwa.Madaktari ni wwanataaluma wanaojua wajibu wao,haki zao na taratibu za kudai haki zao pindi zinapokiukwa.Naamini wameanzia mwanzo na walipoona hakuna matumaini,ndipo wakafika hapa walipofika.Tuache ushabiki wa kizamani kana kwamba cc tunaishi sayari nyingine.
 
Back
Top Bottom