mwanatanu
JF-Expert Member
- Jan 22, 2008
- 851
- 127
Watu wengi wameongea kuwa wa bongo ni ma kondoo....Naamini kuwa hakuna nchi rahisi kutawala kama BONGO. Mkulu kapiga kelele na kupinga haki ya wanyonge ambao ndio wengi hapa nchini na hapo majuzi tu watu wachache walioiba vijisenti vya jasho la hawa wanyonge,hakusimama na kukemea.........Ajabu zaidi ni vile wazee wetu walikaa wanamshangilia.......what a shame