Hata akijibu mapigo hakuna msaada kwani mwenye kaya alisema serikali haitapandisha mshahara kufikia 315,000 kutoka sasa hadi 2018 kwa maana kuwa hata rais wa 2015 ataendeleza libeneke,Hii ndiyo bongo
Ndugu wana JF nimepata taarifa kupitia blog ya Michuzi kuwa Nicholas Ernest Mgaya ajibu tuhuma za JK
mwenye habari kamili atujulishe tafadhari
Majibu anayotakiwa kujibu Mgaya ni mawili tu.
1.Tarehe fulani tunagoma
2.Mgomo umepeleruka.
zingine hizi watanzania tunapenda sana kusikia mbwembwe zisizo na tija.