NImeipoteza haki yangu ya kupiga kura kwenye chaguzi za Rais mbili sasa hivi. Nafuatilia sana siasa lakini si mwanachama wa chama chochote cha siasa. Tusaidiane katika hili;
Nimchague mgombea ambaye anafaa au nichague chama bila kuzingatia mgombea wa chama hicho anauwezo kiasi gani na amepatikanaje?
Nimchague mgombea ambaye anafaa au nichague chama bila kuzingatia mgombea wa chama hicho anauwezo kiasi gani na amepatikanaje?