BAGAH
JF-Expert Member
- Jan 17, 2012
- 4,523
- 1,060
....huwa nakosa pozi,nikisikia mtu kwenye mkusanyiko wa watu
anageuza ndio sehemu ya kuongelea nyeti zake...
kwa mfano unamsikia mtu kwenye daladala anaongea mambo kama haya:
NB:sauti kuubwa watu wote inabidi wakusikilize ww
kiingereza kiboooovu, aibu tupu
unacheka ovyoo
je ni kukosa sehemu na muda kwa ajili ya kuongea mambo yetu?haswa mambo NYETI?
au ni ulimbukeni?
anageuza ndio sehemu ya kuongelea nyeti zake...
kwa mfano unamsikia mtu kwenye daladala anaongea mambo kama haya:
- aaaah mpenzi wangu unaniacha iviivi...?nibusu basi
- aiseee unaweza kunisaidia kama mil 8 hivi nxt week nakurudishia:kwa majigambo, sio kama ana shida, ili mradi tu mgeuke nyuma kumuangalia ni nani..
- duh mwanangu jana nimemkunja yule de**mu goli tatu sio mchezo mwenyewe aliomba po!
- mh, shosti pale nimeingia cha kike kuchafuana tu, hana lolote!!!
- nakwambia tusijuane kuanzia leo, mind mambo yako na mm niendelee na mambo yangu (kibuti)
NB:sauti kuubwa watu wote inabidi wakusikilize ww
kiingereza kiboooovu, aibu tupu
unacheka ovyoo
je ni kukosa sehemu na muda kwa ajili ya kuongea mambo yetu?haswa mambo NYETI?
au ni ulimbukeni?