Nibembelezeni jamani nimezoea

SI RIZKI

Member
Jan 19, 2012
20
2
Mi ni mgeni humu sina nnachokijua,naogopa kutukanwa /kushushuliwa!! Nipokeeni na mnibembeleze maana nimezoea kudekezwa! Ahsanteni
 
Ukilazimisha kubembelezwa utashushuliwa.Mimi mwenyewe ni mgeni lakini aaa watu wa nyumba hii safi sana.Ila hajulikani nani MALE nani FEMALE
 
ID yako kwanza inatia hofu kuwa imevamiwa....kukukaribisha NO..wote humu ni watu safi na ni RIZIKI....hata kama wapo wamejificha...ila wewe umekuja kwa kujitangaza...anyways labda umekuja kwa staili ya kutafuta umaarufu kwa njia rahisi...unajua kwanini hapa pamebatizwa HOME OF GREAT THINKERS?.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom