kilimasera
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 3,068
- 268
Jamani hii miito mingine kwenye simu inatuponza..!!! Jamaa mmoja alikuwa anapata kinywaji sehemu, akaenda msalani akaacha simu kwenye meza aliyokuwa amekaa.
Ghafla simu yake ikaanza kuita ..NIBEEBE NIBEEBE NIBEMBELEZE UNIBEEBE NICHUKUE UNIBEEBEE mtu mwingine akawa anapita kando ya meza hiyo akaisikia, akaibeba kweli .. nani wakulaumiwa ???
Ghafla simu yake ikaanza kuita ..NIBEEBE NIBEEBE NIBEMBELEZE UNIBEEBE NICHUKUE UNIBEEBEE mtu mwingine akawa anapita kando ya meza hiyo akaisikia, akaibeba kweli .. nani wakulaumiwa ???