Imekuaje tena? Mbona huo moto mmoja baba nanihii alikwisha uzima? Au alifukia mkaa kwa majivu ya moto? Bora uanze kuuzima huo uliotulizwa na baba nanihii wakati ule. Huo wa nyumba ya pili (TUCTA) huwa sio mkali sana wazee wa darisalam wakiitwa tu unazimika fasta.
MwaJ,
Aliuzima kwa pumba za Mchele matokeo yake sasa umelipuka tena, na FIRE hawauwezi ule. Ngoja tuone EPISODE two itaishaje.