Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Wadau,kuna gal flani hvi nasoma nae{ni rafiki wa kawaida tu}nlimkopesha pesa ka elfu 80 hv,bt cha kushangaza umeisha pita mwaka hajanilipa hata sent na leo asubuh kanitumia txt akiniomba ka niko fresh financialy basi jioni anione nimkopeshe kama elfu 50,maana anadai ana pesa ya kula leo na kesho tu, amenisisitzia hata ka sina nimfanyie maarifa hata kwa kumkopea kwa marafik zangu ili apate pesa ya kusurvive atleast kwa wiki 2,sa najiuliza deni langu la nyuma hajanilipa na wala hajawahi kuliongelea,afu bado anataka nimkopeshe tena,kikwel pesa ya kuweza kumsaidia ninayo bt nahofia isije ikawa bad debts,sa wakubwa mnanishaurije nimsave au nimpotezee,maana sijamjibu chochote hadi sa hvi na nitumie kaujanja gani kumkumbushia lile deni la nyuma pasipo kumfanya ajisikie vibaya?