Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,251
- 5,322
kwenye orodha yako ondoa hao radio 1 na itv ni upuuzi mtupuAina ya wasikilizaji na Redio/Tv
1:- ITV/Radio 1--Wasomi ,Maprofesa,wanaopenda maendeleo
2.:--Clouds FM--Vijana U-20,Wapenda umbea,Story za town ambazo pia hazikusaidii lolote,Madereva daladala,Mashankupe,
3:--Efm-Vijiweni,Bajaj ,ma haouse boy
4:-TBc --Madereva wa serikali tena kwa kulazimishwa ,wastaafu ambao hawana cha kupoteza bali kusikiliza hekaya .
6:-Star tv---Wasukuma na wahaya ,hawa jamaa habari za michezo wako safi ila kitaifa hamna kitu.