HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
Wasalaam,
Mimi ni kijana mwenye familia ya mke mmoja na mtoto. Sijwahi kuwa na ugomvi na mke wangu isipokuwa tangu mwezi uliopita, amekuwa yuko kimya sana (amepoa sana) na hachangamki hata ukimsemesha au kumtania. Jibu lake limekuwa "Niache bwana, nina mawazo yangu!". Nimetafakari mwenendo wangu kwa muda mrefu hauna mashaka yeyote.
Najiuliza tatizo ni nini maana hali yake hii inanisikitisha na kuniyumbisha kisaikolijia. Naomba mawazo na ushauri wenu wa dhati ndugu zangu kuhusu nini cha kufanya ili nijue tatizo lake. Wenzangu wake zenu wamewahi kuwajibu hivyo? Mlifanyaje?
****** Imetumwa na Johnson, Mara Musoma ********
Mimi ni kijana mwenye familia ya mke mmoja na mtoto. Sijwahi kuwa na ugomvi na mke wangu isipokuwa tangu mwezi uliopita, amekuwa yuko kimya sana (amepoa sana) na hachangamki hata ukimsemesha au kumtania. Jibu lake limekuwa "Niache bwana, nina mawazo yangu!". Nimetafakari mwenendo wangu kwa muda mrefu hauna mashaka yeyote.
Najiuliza tatizo ni nini maana hali yake hii inanisikitisha na kuniyumbisha kisaikolijia. Naomba mawazo na ushauri wenu wa dhati ndugu zangu kuhusu nini cha kufanya ili nijue tatizo lake. Wenzangu wake zenu wamewahi kuwajibu hivyo? Mlifanyaje?
****** Imetumwa na Johnson, Mara Musoma ********