Niache kazi au nivumilie kashfa za bosi?

TINDIX

Member
Jun 4, 2015
26
7
Jamani naomba msinichoke!!!! Nimeajiriwa kwenye kampuni moja hivi Nina mwezi sasa ila bosi ana kejeli.matusi. ni mkali kiasi kwamba hana jema hata ujipinde vipi hana shukrani!!! Ukiamka asubuhi unaanza kuwaza Leo kazin itakuwaje!!!! Japo kazi hakuna siyo kwa huyu bosi!!!! Naombeni mnishauri kabla sijafanya maamuzi!!! Asanteni
 
Jamani naomba msinichoke!!!! Nimeajiriwa kwenye kampuni moja hivi Nina mwezi sasa ila bosi ana kejeli.matusi. ni mkali kiasi kwamba hana jema hata ujipinde vipi hana shukrani!!! Ukiamka asubuhi unaanza kuwaza Leo kazin itakuwaje!!!! Japo kazi hakuna siyo kwa huyu bosi!!!! Naombeni mnishauri kabla sijafanya maamuzi!!! Asanteni

Don't take that work seriously,work for fun
 
Mkuu nikupe ushauri:Naona situation unayopitia ni kama ya kwangu...1.Angalia maslahi...2.Matusi yapo coz hakuna tajiri anaependa ujinga#Pambana na hali yako 3.Mkuu ulipotoka ni wapi?Na unaelekea wapi? [HASHTAG]#Hitimisho[/HASHTAG]..Niliwahi kut..o..mb..eeewaga dem angu et kisa mtoooto wa mwenye nazo sikuwa na kauuli kisa mfanya kazi #U$hauri Kma nakosea...Mnyonge hataminiwi
 
Aisee kuna mabosi ukifanya nao kazi unaweza kupata depression yani wana masimango kuliko maelezo. Ila hzo ni changamoto vumilia huku ukiendelea kutafta kwingine
 
B
Jamani naomba msinichoke!!!! Nimeajiriwa kwenye kampuni moja hivi Nina mwezi sasa ila bosi ana kejeli.matusi. ni mkali kiasi kwamba hana jema hata ujipinde vipi hana shukrani!!! Ukiamka asubuhi unaanza kuwaza Leo kazin itakuwaje!!!! Japo kazi hakuna siyo kwa huyu bosi!!!! Naombeni mnishauri kabla sijafanya maamuzi!!! Asanteni
Pole sana ndugu....picha ninayoipata apo ni kua huna aman mara ufikapo kazini, na hivyo huipendi ata kazi, Na siku zote ukikosa amani + kutoipenda kazi, definitely efficiency itashuka( yaan hutafanya kazi kwa ufanisi kama ambavyo uwezo wako ulivyo). Pia situation uliyo nayo nahis adi unashindwa kui control au kuivumilia.

Ushauri
1 Usiache kazi ILA badili mtizamo wako juu ya uyo boss(change your attitude) yaan take it easy amini tu kua ndivyo anavyopaswa kufanya ili kazi iende.

2. Naomba ufaham kua employer normally aim at making the best out of what he is doing e.I aiming at profit maximization so usitegemee akaacha kua mkali maana atapata loss.

3. Ongeza bidii kweny kazi, do to your level best and don't expect to be rewarded na binadamu....muachie Mungu na nature ndiyo itakayokureward.

Believe me, you'll be in a better position in the short while.

Kumbuka kukimbia tatizo sio kulitatua.
Mwisho...do what you think will please you and set you free.
 
Usiache ndugu yangu, kila kitu kina mwisho, hii dunia Ina mengi Sana,asubuhi na jioni mlilie Mungu nawe utaiona njia
 
Kuwa mvumilivu na fanya kazi yako kwa juhudu na jitume. Ifurahie hiyo kazi kwaniyana mwisho.
 
Jamani naomba msinichoke!!!! Nimeajiriwa kwenye kampuni moja hivi Nina mwezi sasa ila bosi ana kejeli.matusi. ni mkali kiasi kwamba hana jema hata ujipinde vipi hana shukrani!!! Ukiamka asubuhi unaanza kuwaza Leo kazin itakuwaje!!!! Japo kazi hakuna siyo kwa huyu bosi!!!! Naombeni mnishauri kabla sijafanya maamuzi!!! Asanteni
umepata kazi mpaka utake kuacha kazi? huyo boss wako ni wa kwanza kukutukana au yeye amekuja namatusi mapya kabisa ambayo hata ukiyataja hakuna ambaye amepata kuyasikia?
 
Mimi hayo mambo huwa siyawezi.
Juzikati nilipata kazi kwa Mrussia mmoja nilifanya week 1 tu nikaacha.
Mimi ni mvumilivu ila kwa yule boss ilikuwa too much,nikaresign.

Nakuelewa mtoa mada hali unayopitia...furaha ni utokapo kazini,huzuni ni uingiapo kazini!
Ila nakushauri usiache...kaza.
 
Hizo ni changamoto tu.. jipapange kwanza kabla ya kuchukua hatua zaidi..
 
Pambana nje kugumu.Mi niliacha kwa sababu hiyo na nyinginezo ila nakushauri vumilia huku unaangalia sehemu nyingine.
 
Mkuu nikupe ushauri:Naona situation unayopitia ni kama ya kwangu...1.Angalia maslahi...2.Matusi yapo coz hakuna tajiri anaependa ujinga#Pambana na hali yako 3.Mkuu ulipotoka ni wapi?Na unaelekea wapi? [HASHTAG]#Hitimisho[/HASHTAG]..Niliwahi kut..o..mb..eeewaga dem angu et kisa mtoooto wa mwenye nazo sikuwa na kauuli kisa mfanya kazi #U$hauri Kma nakosea...Mnyonge hataminiwi
Sio kisa mtoto wa mwenye nazo kisa ni kwamba demu wako alikuwa na tamaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom