Unakuta girls wa siku hizi underwear zao zina kamba nyembamba ambazo zinafunikwa na makalio,kwa hiyo makalio yanakuwa nje na kamba imefunikwa na mfereji wa makalio,sasa hapo inavaliwa kwa sababu gani?kufunika makalio au makalio kufunika underwear?
my dear
naamini inatwa G - string..
zinavaliwa kwa sababu mbali mbali
sababu moja na kubwa ni hiii wengi
tunapenda kuvaa nguo tight na hatutaki
miraba ya chupi ionekane basi kuna hiyo
G- string au kuna body shape ambazo zimekaa
kama skintight ... ( chaguo ni la mvaaji)..
sababu nyingine ya G- String ni
easy accesses ukiwa uwanjani ..
( hii inatokana na upande wa pili kuna wengine hawataki
wapenzio wavae)
So u mean uvaaji wake unategemeana na matukio?
But huwa inapendeza sana,lakini sio kusitiri makalio,halafu nadhani wanene haiwapendezi.....teh teh...{joking}
Khaaaaa we mwanamke!Embu kua na aibu kidogo....!haijatenenzwa kusitiri makalio..makalio yana sitiriwa na suruali na skerti ...unene wa wapi dear?? .. kama ni wa kule chini nyuma mmmmhhh tuache tu teh teh teh teh angalia tena lol
Khaaaaa we mwanamke!Embu kua na aibu kidogo....!
haijatenenzwa kusitiri makalio..
makalio yana sitiriwa na suruali na skerti ...
unene wa wapi dear?? .. kama ni wa kule chini
nyuma mmmmhhh tuache tu teh teh teh teh
angalia tena lol
Najua wote hamwazi kama mimi ndo maana hatuendelei wala hatutakaa tuendelee mpaka mtakapoanza kufanya hivyo!nane naweumezidi wazani kila mtu anawaza kama wewe ..
Najua wote hamwazi kama mimi ndo maana hatuendelei wala hatutakaa tuendelee mpaka mtakapoanza kufanya hivyo!